Wanaume acheni kuzaa na wanawake ambao hamtawaoa

Hapo unataka upromote ngono sasa.

Mwanamke akijua atanufaika kwa namna hiyo mbona ataitafuta mimba kwa udi na uvumba.

Ukweli utabaki pale pale, suala la mimba ni uamuzi wa mwanamke.
Unadhani wanaume sasa wataendelea kujiachia na wanawake hovyo hovyo, yaani utazoa bao lako uondoke nalo popote unapokwenda na utakuwa makini unapokojolea.
 
Ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23] sijajua hiyo skendo mzee. Kumbe jamaa nae na principles zake zile anazingua huku ground?
Wale ndo zao ,president Zuma chupuchupu afungwe ashukuru TUNDU LISU mwanasheria kutoka tz
 
Unadhani wanaume sasa wataendelea kujiachia na wanawake hovyo hovyo, yaani utazoa bao lako uondoke nalo popote unapokwenda na utakuwa makini unapokojolea.
Kama hiyo ndio suluhu ebu itekelezwe tuone matokeo yake
 
Ha ha ha ha [emoji23][emoji23][emoji23] sijajua hiyo skendo mzee. Kumbe jamaa nae na principles zake zile anazingua huku ground?
K hizi ,zikutanage na wagonjwa ila kama ukotimamu

Ukishangaa ya malema

Je ,Clinton wa marekani tena tena ikulu hizi K hasa iwe zuri we Acha tu
 
Aaah..hata kinga inapasuka pia...wengine ndo Ivo tushazoea raw sex
 
Itakuja audience ya kipumbavu kukupinga. Yani mtu anasema kabisa mi nataka mwanamke anizalie watoto tu ila ndoa staki. Wanaume siku hizi hawataki responsibility wala accountability ya makosa yao. Sasa wakikutana wanawake desperate wanakubali kuzaa, mwanaume akiona amemfubaza mtoto
Wa watu kisawasawa anaenda kwa mwanamke mwengine anazaa nae. Ni wachafuzi!!
 
Ndo hivyo
 
WANAWAKE ACHENI KUZAA NA WANAUME AMBAO HAWATAWAOA

ZAENI MKISHAOLEWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…