Vipi hapo chato upoo karibu na Yale mataa mapya ya traffic[emoji15]Hii ni dharau kutufananisha na wanawake, sisi wanaume tunaoishi huku chato....[emoji23] [emoji23]
Toba....[emoji87] [emoji87]
Kunamtu nimemtaja bila kukusudia...[emoji45]
[emoji125] [emoji125]
Mnajifanya mmekomaa sioo[emoji15]Hahahaaa ila Situation ni ngumu sana mtaani, Kwenye Michango ya Harusi huko ni balaa tupu. Magu abane zaidi tushike adabu.
[emoji48][emoji48][emoji48][emoji48][emoji48]Vipi hapo chato upoo karibu na Yale mataa mapya ya traffic[emoji15]
Mkuu....Vipi hapo chato upoo karibu na Yale mataa mapya ya traffic[emoji15]
Mkuu sisi tumezaliwa mjini yeye wakuja ndio atarudi kwao hana maajabu zaidi ya roho mbaya,visasi na ukudaLile tangazo La SIZONJE naona kama limepuuzwa vilee.
C tuliambiwa mpaka kufika mwezi wa sabaa atakaebakia MUJINI[emoji538] [emoji545] [emoji537] [emoji536] ni kidume Sasa mwezi huooo unaelekea jioni vidume vimikomaa VIPO!
SIZONJE ongeza makalii afu ongeza muda mpaka December ikifika ndo tutajua nani wa mujini na nani wakuletwa[emoji196] [emoji216] [emoji219]
Au ofisi za tra chato[emoji48][emoji48][emoji48][emoji48][emoji48]
Tutakomaa tu mpaka kielewekeLile tangazo La SIZONJE naona kama limepuuzwa vilee.
C tuliambiwa mpaka kufika mwezi wa sabaa atakaebakia MUJINI[emoji538] [emoji545] [emoji537] [emoji536] ni kidume Sasa mwezi huooo unaelekea jioni vidume vimikomaa VIPO!
SIZONJE ongeza makalii afu ongeza muda mpaka December ikifika ndo tutajua nani wa mujini na nani wakuletwa[emoji196] [emoji216] [emoji219]