Sipati picha enzi zake akiwa ticha!Mkuu sisi tumezaliwa mjini yeye wakuja ndio atarudi kwao hana maajabu zaidi ya roho mbaya,visasi na ukuda
Nilisoma headline nikaridhika no ya kawaida hayo kwa tz hayahitaji kisaKisa
hahahahahaLile tangazo La SIZONJE naona kama limepuuzwa vilee.
C tuliambiwa mpaka kufika mwezi wa sabaa atakaebakia MUJINI[emoji538] [emoji545] [emoji537] [emoji536] ni kidume Sasa mwezi huooo unaelekea jioni vidume vimikomaa VIPO!
SIZONJE ongeza makalii afu ongeza muda mpaka December ikifika ndo tutajua nani wa mujini na nani wakuletwa[emoji196] [emoji216] [emoji219]
Hahahaa,,,,,,,ngoja nikae kimyaSipati picha enzi zake akiwa ticha!