Wanaume, dharau sio nzuri

Mamake atakuwa na jibu zuri maana siongeagi na mabwa(bwa/wa)
Wewe itakua una tatizo la inferiority complex sío bure
Ni udhaifu mkubwa sana unaokufanya umuhusisishe mzazi wake kwenye swali linalokuhusu wewe
 
Lugha yako tu inakuonesha umeathiriwa kiasi gani, ndio maana hueleweki kama ni Me au Ke...
Bwabwa tu wewe unawashwa ndo maana unakimbilia kuquote posts za wanaume ili uzoeleke. umeniganda nimekwambia mi sit.mbi mashogaaaa!!!!
 
Wewe itakua una tatizo la inferiority complex sío bure
Ni udhaifu mkubwa sana unaokufanya umuhusisishe mzazi wake kwenye swali linalokuhusu wewe
Mambo ya double ID sio!!? Naona unahangaika sana.
 
Wadau tumieni lugha nzuri za kueleweshana....matusi hayasaidii zaid zaidi mtaonekana empty headed.............
 
Bwabwa tu wewe unawashwa ndo maana unakimbilia kuquote posts za wanaume ili uzoeleke. umeniganda nimekwambia mi sit.mbi mashogaaaa!!!!
Kati yangu na wewe nani hana marinda? Lugha tu inakuonesha ni mtu wa aina gani. Anyway, I can't talk to a schizophrenic unwearied...
 
Wadau tumieni lugha nzuri za kueleweshana....matusi hayasaidii zaid zaidi mtaonekana empty headed.............
Ni kweli lakini jamaa anatafuta kick... anadhani atapunguza stress za maisha kwa kuhamishia hasira kwa wengine...
 
Mtoa hoja kaanza vizuri.wachangiaji mnaanza kuharibu tena.Sijui tumerogwa na nani nchi hii.
 
Ni kweli lakini jamaa anatafuta kick... anadhani atapunguza stress za maisha kwa kuhamishia hasira kwa wengine...
Na ukishaona hivo...usiendelee kubishana na mwehu mana mwisho wa siku utaonekana nawe ni mwehu...dont argue with fools they will drag you down to their level..........
 
Na ukishaona hivo...usiendelee kubishana na mwehu mana mwisho wa siku utaonekana nawe ni mwehu...dont argue with fools they will drag you down to their level..........
Noted...
 
jamani mambo ya jokes tu , lugha za kuudhi hadhifahi jamani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…