wanaume DUNGADUNGA

wanaume DUNGADUNGA

kisasangwe

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
292
Reaction score
56
Leo asubuhi nimefika ofisini nakuta my co worker analalamika, jana kapanda daladala ilikua imejaa kiasi, watu walikua wamesimama na nyuma yake alikuepo mwanaume,huyu kidume kila mara alikua anambanabana mno ingawa nafasi haikua finyu kiiiivo. walipokua wanakaribia kituoni mtu aliekua kakaa akamtahadharisha rafiki angu huyo kua asogee mbele maana kidume alikua anatoa mali zake ili amalize haja yake ya mwili hapo. kutahamaki na kugeuka anakuta njemba mtalimbo juu, dada wa watu akapiga kelele na kilichompata huyo kidume ni kichapo toka kwa watu.

jamani mi nauliza hivi hawa dunga kama wanavofahamika mtaani ni wehu,addicted to ngono au hawawezi kupata watu wao wakado hii kitu kwa ustaarabu au tatizo ni nini wandugu
 
Labda alivaa kihasara. Pia ukimchunguza atakuwa ana furaha kwa ndani ya kumhemsha mtu/watu
 
Preta utaniudhi sasa si unakuja kunituliza siku hizi maana kila nikiamka siku hizi ni dk 5 tu

tena nilikuwa nikuulize...vipi ile kitu bado inananilio asubuhi?
 
Pretta, una dangulo la kiume nini. Yaani contact za Dungadunga?

Kumbuka kuwa "Mzoea vya kunyonga, vya kuchinja haviwezi......" kibao cha Bwana/bibi Farouku.
 
Pretta, una dangulo la kiume nini. Yaani contact za Dungadunga?

Kumbuka kuwa "Mzoea vya kunyonga, vya kuchinja haviwezi......" kibao cha Bwana/bibi Farouku.

hao huwa nina dawa yao...na hatakaa arudie kitendo hicho kamwe...kama kuna unayemjua niletee tafadhali
 
Back
Top Bottom