Wanaume hakikisheni mnafuata ushauri huu

Wanaume hakikisheni mnafuata ushauri huu

kipanga85

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2024
Posts
2,459
Reaction score
6,466
Kwa wanaume wote ukienda shule ya udereva utayaona magari mengi lakini usilichukue hata moja ,bali tumia magari hayo kujifunza kutembesha lipia gharama zake kisha yaache hukohuko.

Kisha nenda dukani kanunue gari mpya nzuri unalotaka kulitembesha kwa ujuzi na ufundi ulio chukua shule

153554_0683_4.jpg




NB: Unaponunua gari hakikisha unanunua pikipiki pamoja na baiskeli ili siku gari likizingua basi unakua na uhakika wa usafiri
 
Kwa wanaume wote ukienda shule ya udereva utayaona magari mengi lakini usilichukue hata moja ,bali tumia magari hayo kujifunza kutembesha lipia gharama zake kisha yaache hukohuko.

Kisha nenda dukani kanunue gari mpya nzuri unalotaka kulitembesha kwa ujuzi na ufundi ulio chukua shule

View attachment 3095736



NB: Unaponunua gari hakikisha unanunua pikipiki pamoja na baiskeli ili siku gari likizingua basi unakua na uhakika wa usafiri
Umeandika kiufundi sana ila tumekuelewa mkuu🤝
 
Then unakwenda kununua gari jipya! Vipi umeshajiuliza kuwa hata hilo jipya usikute limepitia Drive Test!!?
Tena kwa zaidi ya madereva watano!!??
 
Back
Top Bottom