kipanga85
JF-Expert Member
- Apr 15, 2024
- 2,459
- 6,466
Kwa wanaume wote ukienda shule ya udereva utayaona magari mengi lakini usilichukue hata moja ,bali tumia magari hayo kujifunza kutembesha lipia gharama zake kisha yaache hukohuko.
Kisha nenda dukani kanunue gari mpya nzuri unalotaka kulitembesha kwa ujuzi na ufundi ulio chukua shule
NB: Unaponunua gari hakikisha unanunua pikipiki pamoja na baiskeli ili siku gari likizingua basi unakua na uhakika wa usafiri
Kisha nenda dukani kanunue gari mpya nzuri unalotaka kulitembesha kwa ujuzi na ufundi ulio chukua shule
NB: Unaponunua gari hakikisha unanunua pikipiki pamoja na baiskeli ili siku gari likizingua basi unakua na uhakika wa usafiri