Lamomy mtoto hajambo?Kwender π€£π€£π
Magari ya kujifunzia ndio imara kwa taarifa yako, chuma cha mjerumani hakishiki kutu shauri yako..!
Mtoto yupi? ππLamomy mtoto hajambo?
Naomba unikopeshe gari lako, sina pesa ila nna nidhamu katika matumizi ya magari hvy sitoumiza gari lako πKwender π€£π€£π
Magari ya kujifunzia ndio imara kwa taarifa yako, chuma cha mjerumani hakishiki kutu shauri yako..!
Si yule wako hapo kariakoo kama mpemba au muethiopia hivMtoto yupi? ππ
Au unamuulizia mtoto wa ma mkwe??
Umeandika kiufundi sana ila tumekuelewa mkuuπ€Kwa wanaume wote ukienda shule ya udereva utayaona magari mengi lakini usilichukue hata moja ,bali tumia magari hayo kujifunza kutembesha lipia gharama zake kisha yaache hukohuko.
Kisha nenda dukani kanunue gari mpya nzuri unalotaka kulitembesha kwa ujuzi na ufundi ulio chukua shule
View attachment 3095736
NB: Unaponunua gari hakikisha unanunua pikipiki pamoja na baiskeli ili siku gari likizingua basi unakua na uhakika wa usafiri