Wanaume hatupendani.Aibu niliyopata leo nimesikitika sana. Nimeokolewa na Mwanamke

Yaani we kwa chai ni hatari ..mpaka umesikia ubaridi kwani umepita karibu na freezer lililofunguliwa?
 
Mbona mi nahisi hii ni chai ya rangi
 
Pole sana... hakuna mwanaume anayeangalia zipu ya mwanaume mwezake ndiyo maana hawajakushtua...


Wanawake ndiyo watu wa details ndiyo maana wana notice...


Cc: mahondaw
 
Moderator Naomba muiondoe picha hii haina maadili na ni ya udhalilishaji kwa mzee wangu huyu. Kma mtumiaji atakuwa mstaarabu wa kutosha ningeomba aiondoe. Ama sivyo moderator muangalie kanuni zinasemaje. Nmejisikia fadhaa sana kwa mara nyingine tena na mehuzunishwa sana
Hiyo apo picha[emoji3] [emoji3] [emoji3] View attachment 811992
 
Haaa haaa [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] leo hii wanaume hampendani? Maajabu haya ,
pole sana ila walishasahau pic yenyewe endelea tu kilicho kupeleka
Ameweka picha ya huyo mdada au niendelee na hamsini zangu?
 
AC ndugu yangu.. si unajua inapopuliza kile kichwa kipo sensitive sana kwa hali ya hewa
Yaani we kwa chai ni hatari ..mpaka umesikia ubaridi kwani umepita karibu na freezer lililofunguliwa?
 
ha ha ha.. nlisikia kama mtu mmoja au wawili wameguna sikuelewa why
Hahahaa hapo lazima watu wapate vikohozi vya ghafla.

Kwa hiyo msaada alioutoa dada ni kukuachia ofisi yake tu au kuna huduma nyingine aliofa labda? Kama vile kusaidia kuiweka zipu sawa maana inawezekana ilikua imejam na ikihitaji mikono zaidi ya miwili kuirekebisha
 
kwa huyu dada kwa kweli yeye msaada wake ulikomea pale tu... ila nimpenda sababu ni muugwana sana na mwenye busara. ha ha ha.

 
kumradhi ndugu yangu sikuwa na ufahamu huu hapo awali .nlichukulia tu kwa hiyo comment mwandishi angekuwa mwanamke. but kwa kuwa si... nikutake radhi. sina sababu ya kuutweza utu na jinsia yako.la hasha hilo si kusudio langu ndugu yangu... uniwie radhi ... tupo kwa ajili ya kufundishana na kuburudishana na wahenga walisema "ada ya mja hunena uungwana ni vitendo"

 
kwa huyu dada kwa kweli yeye msaada wake ulikomea pale tu... ila nimpenda sababu ni muugwana sana na mwenye busara. ha ha ha.
Anabusara zilizotukuka huyo dada, contact ulichukua lakini? ila wanaume kweli hapo walituangusha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…