Wanaume hizi rangi tatu hautakiwi kuzikosa kwenye mavazi yako kama unapenda kupendeza

lorahshop

Member
Joined
Oct 16, 2021
Posts
39
Reaction score
69
Kiatu rangi nyeusi, mkanda mweusi, kiatu rangi ya kahawia na mkanda wa kahawia, kiatu rangi ya kahawa na mkanda rangi ya kahawa.

Mwanaume ukivaa mkanda ukafanana na kiatu halafu umechomekea unapendeza sana, haijalishi ni nguo za mtumba au dukani.

Haya kazi kwenu chukua iyo! Tafadhali zingatia rangi hizo tatu lazima muonekane ubadilike.
 
Mbona rangi mbili hapo?
 
Mwanaume ukivaa mkanda ukafanana na kiatu halafu umechomekea unapendeza sana, haijalishi ni nguo za mtumba au dukani.[emoji1752][emoji1545]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…