Wanaume hujali vitu vipya tuu !!

Ni kweli kitu lazima ukipete pete ili kutengeneza mazingira mazuri yakuijua chupiz
 
Big g!!Ndiyo maana ukimaliza kudu hapa na ukawa umechokalakini ukitoka nje ukamwona kimwana mwingine mpya unaweza ukapiga upya bao zako 2!Ndo tulivyoumbwa labda uwenakasoro!!
 
Big g!!Ndiyo maana ukimaliza kudu hapa na ukawa umechokalakini ukitoka nje ukamwona kimwana mwingine mpya unaweza ukapiga upya bao zako 2!Ndo tulivyoumbwa labda uwenakasoro!!


Kaka Big hana tabia hiyo akimaliza tu analala foforo
 
 
Mh....,!!!!!Kweli sisi wanaume ni mwisho wa matatizo,yaani mbwembwe zote hizo,mtu anataka kumvua chupiz tu mwenzake?
 

Sure thing!!! Kwa nini wanaume ndo wawe wakuwafungulia milango ya magari wanawake???? Kwa nini wanaume ndo wawe wakuwasogezea kiti wanawake wakae wanapotoka out???.... Yaani kila siku katika kila kitu wao wawe on the receiving end!!!! Why???
 
Sure thing!!! Kwa nini wanaume ndo wawe wakuwafungulia milango ya magari wanawake???? Kwa nini wanaume ndo wawe wakuwasogezea kiti wanawake wakae wanapotoka out???.... Yaani kila siku katika kila kitu wao wawe on the receiving end!!!! Why???

Mkuu kuwa mwanaume ni kujali mwanamke. Hizo mbwembwe za kufungua milango, sogezea kiti, hakikisha mwanamke yupo kwenye security ni mambo ya muhimu sana, na hawa viumbe wanapenda sana. Halafu kitu chochote unacho mfanyia mwanamke kinakupa raha mwenyewe na ukiwa mgumu katika haya ukajifanya wee kidume unajiwekea maisha magumu mwenyewe. We fanya tuu hata mbele za watu poa tuu, ndoo kuwa kidume huko.
 
Tell them smati, ama kweli wewe smati. Yani leo umenikuna mpaka basi.
 

good!!!!
 
Napenda kuona mke na mume wanatembea halafu mume amebeba pochi ya mkewe.
Hamjui tu ni jinsi gani tunafarijika kwa vitu vidogo vidogo kama hivyo ambavyo haivitoi jasho kuvifanya.
 

NIPIGIE naona imekutouch saaaana au uliwahi kufanyiwa hivyo kisha mambo yakakatika?

basi usijali nipigie mie takufanyia zaidi ya hayo ili tufute mwisho wa dunia.
 
mume amebeba pochi ya mkewe. Hamjui tu ni jinsi gani tunafarijika kwa vitu vidogo vidogo kama hivyo ambavyo haivitoi jasho kuvifanya.

Nikiomba pochi yako utanipa? Si utasema nataka nichunguze na simu yako nione kuna nini?..... Nadhani pochi ya mwanamke ina mengi na some privacy inatakiwa.... hautasema ni mapenzi utasema ninakuchunguza.
 
Napenda kuona mke na mume wanatembea halafu mume amebeba pochi ya mkewe.
Hamjui tu ni jinsi gani tunafarijika kwa vitu vidogo vidogo kama hivyo ambavyo haivitoi jasho kuvifanya.


Unataka watu waniite mtoto si riziki, hivi hujui mashoga wengi hupenda kuongozana na wanawake; ni pale tu watakaotuona wanaojua mimi ni mme wa huyo mwanamke, wengine wata-confirm kuwa mimi shoga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…