Wanaume hutongoza hivi,hamna mwanamke mgumu ataechomoa...

Wanaume hutongoza hivi,hamna mwanamke mgumu ataechomoa...

FrankLutazamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2018
Posts
448
Reaction score
409
Moja...kukukatia tiketi ya Ndege,hamna mdada wa kisasa atakaekataa kupanda dreamliner kukufuata popote,kama upo Kahama(mji wa starehe, unamuomba muende Mwanza kwa Ndege usiende mbali kuokoa gharama,au kama upo bongo una fly to Zanzibar or Mafia(hapo lazima u-win)

Mwisho..kuachiwa simu ya kawaida yenye Mpesa kiasi cha laki mbili...unamwachia simu Hiyo ya Mpesa unampa na namba ya siri unmpa go ahead akijisikia kutoa atoe,baada ya week ukiomba urafiki lazima u-win hata mwanamke awe mgumu kama kisiki(huo huitwa uchawi wa kizungu)

Instagram: kaukwaju
 
Moderator wa JamiiForums hii ihamishieni MMU huku iko misplaced!!! Kwanza mwanamke hatongozwi kasome kitabu cha 48 laws of power By R.Greene...... rule number 20 ukiitumia hyo hutowahi tongoza mwanamke na utawapata wa kutosha.
Yaan nikatafute kitabu tena wakati wewe ulishasoma. We unaonekana shule ulikuwa mchoyo sana wa majibu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

Back
Top Bottom