Lily Flower
JF-Expert Member
- Oct 16, 2009
- 2,553
- 1,199
Kweli kabisa wanaume ndivyo MLIVYO period, nikifikiria kuolewa I question myself so many questions till I quite the idea. Mama yangu.mbu samahani nimekosea kusema nyie wanaume ndo mlivyo ..masahisho baadhi ya wanaume ndo walivyo
umeniforgive ??
Kweli kabisa wanaume ndivyo MLIVYO period, nikifikiria kuolewa I question myself so many questions till I quite the idea. Mama yangu.
Mama wa Ikulu,katika hili Mbu umemwomba msamaha wa nini,hebu u withdraw mara moja. Haiwezekani mtu a advocate uzanga kisha wewe umwombe radhi. Kwani mapokeo katika jamii yanafundishaje kuhusu zinaa?mbu samahani nimekosea kusema nyie wanaume ndo mlivyo ..masahisho baadhi ya wanaume ndo walivyo
umeniforgive ??
Lily,how old are you by the way? (no offence intended).Kweli kabisa wanaume ndivyo MLIVYO period, nikifikiria kuolewa I question myself so many questions till I quite the idea. Mama yangu.
Thnks shostito.pole sana shost
Middle 30's, kwanini unauliza Bishanga? just curious!!Lily,how old are you by the way? (no offence intended).
Middle 30's, kwanini unauliza Bishanga? just curious!!
Naelewa hilo Chrispin am alert.Ohoo! Stuka mdada, watu wana fani zao huku.
Naelewa hilo Chrispin am alert.
Mama wa Ikulu,katika hili Mbu umemwomba msamaha wa nini,hebu u withdraw mara moja. Haiwezekani mtu a advocate uzanga kisha wewe umwombe radhi. Kwani mapokeo katika jamii yanafundishaje kuhusu zinaa?
i thought you said Gaigin was the last oneThanks, sasa niPM basi tulonge.
Chrispin, ngoja kwanza majeraha yapone, mambo ni mengi.Thanks, sasa niPM basi tulonge.
usiogope Lilyflower, challenges are there to be met head on.Kweli kabisa wanaume ndivyo MLIVYO period, nikifikiria kuolewa I question myself so many questions till I quite the idea. Mama yangu.
Pole Mbu, ila i think i like your woman. haeheeee...binamu nimeudhiwa aisee, natoa donge langu humu! ...nisije 'likanipalia' halafu nikafanya kweli buree... 😡
...hata wanaume hivyo hivyo mamie, Mumeo akianza kutoka nje jua amevumilia vya kumtosha, lishamfika shingoni...
waache watajatest hata visivyotestiwa ndo watajua shughuli yake,nyie wanaume hamna cha uvumilivu wala nini
kuna mmoja hapo amesema anataka kutest kila mwanamke aona anakuwaje
eeeh kijana una hatari sana
Chrispin, ngoja kwanza majeraha yapone, mambo ni mengi.
i thought you said Gaigin was the last one