wanaume shkamoooWanandoa walizoea kudanganyana. Siku moja mke alilala nje aliporudi nyumbani mmewe akamuuliza ulilala wapi. Mke akasema alilala kwa rafiki yake wa kike.
Mme akawapigia simu marafiki 10 wa mke wake na wote wakasema hakulala kwao.
Siku iliyofuata mme nae akalala nje, aliporudi nyumbani mke akamuuliza ulilala wapi. Mme akasema nililala kwa rafiki yangu wa kiume.
Mke akawapigia simu marafiki 10 wa mme wake. 8 walikubali kuwa kalala kwao na wawili ndo wakaua kabisa wakasema eti hadi sasa bado yupo hapa tunakunywa break fast.
WANAUME KOKOTE MLIKO AGIZENI KTMOTO NA DIVAI NITALIPIA.
Kuwa mwanaume ni raha sana. Full maujanjaWanandoa walizoea kudanganyana. Siku moja mke alilala nje aliporudi nyumbani mmewe akamuuliza ulilala wapi. Mke akasema alilala kwa rafiki yake wa kike.
Mme akawapigia simu marafiki 10 wa mke wake na wote wakasema hakulala kwao.
Siku iliyofuata mme nae akalala nje, aliporudi nyumbani mke akamuuliza ulilala wapi. Mme akasema nililala kwa rafiki yangu wa kiume.
Mke akawapigia simu marafiki 10 wa mme wake. 8 walikubali kuwa kalala kwao na wawili ndo wakaua kabisa wakasema eti hadi sasa bado yupo hapa tunakunywa break fast.
WANAUME KOKOTE MLIKO AGIZENI KTMOTO NA DIVAI NITALIPIA.
wanaume wanajua kulindana na uongo wanauweza
nimekuelewa mkuuInaitwa bro code kaifwate huku Bro Code - Wikipedia, the free encyclopedia
[emoji38] [emoji38] [emoji38]..Wanandoa walizoea kudanganyana. Siku moja mke alilala nje aliporudi nyumbani mmewe akamuuliza ulilala wapi. Mke akasema alilala kwa rafiki yake wa kike.
Mme akawapigia simu marafiki 10 wa mke wake na wote wakasema hakulala kwao.
Siku iliyofuata mme nae akalala nje, aliporudi nyumbani mke akamuuliza ulilala wapi. Mme akasema nililala kwa rafiki yangu wa kiume.
Mke akawapigia simu marafiki 10 wa mme wake. 8 walikubali kuwa kalala kwao na wawili ndo wakaua kabisa wakasema eti hadi sasa bado yupo hapa tunakunywa break fast.
WANAUME KOKOTE MLIKO AGIZENI KTMOTO NA DIVAI NITALIPIA.
Marahabaaaaaaaaawanaume shkamooo
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] tatizo kwa wewe, akipiga simu asubuhi kwa wanaume hata wawili tu wakikubali ulilala kwao,Ndio maana napenda marafiki wanaume ila wadada hapana kwakweli
naomba niwe rafiki ako.honeyNdio maana napenda marafiki wanaume ila wadada hapana kwakweli