Acha ubahili bro...!Tuwe na msimamo mmoja..Mahari haizidi 5M haijalishi unamuoa nani..
Teh teh..Bro we unaweza kutoa zaidi ya hapo??..Btw mi uwa hata sioni sababu ya kutoa hiyo kitu..Acha ubahili bro...!
Kuoa ukiwa below 25 ni kama kuondoka club saa nne usiku wakati wenzio ndio wanaanza kuingia.BADO NIPO BELOW 25, na demu wangu anahitaji nimuweke ndani
#kwa upande wangu nifanye nini ilihali nilijiwekea malengo ya nikiwa na at least na 30+ ndio niwe na mke rasmi?
hivi ni kweli eeeh?Kuoa ukiwa below 25 ni kama kuondoka club saa nne usiku wakati wenzio ndio wanaanza kuingia.
Au mnasemaje wanaume wenzangu?
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]hivi ni kweli eeeh?
naoa ili iweje[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Oa mkuu, ndoa ni jambo jema!
Kuoa ukiwa below 25 ni kama kuondoka club saa nne usiku wakati wenzio ndio wanaanza kuingia.
Au mnasemaje wanaume wenzangu?
Kuna baraka kwny ndoa unazikosa , Oa tuWakuu Hivi kuna umuhimu wa kuoa ukiangalia huduma zote napata?
mfano.....Kuna baraka kwny ndoa unazikosa , Oa tu
Heshima kwanza unapata jamii inatambua kama wewe ni kichwa cha familia. Pili unapata watoto halali
SawaWototo wote ni halali huu ni ubaguzi unaouleta na kuwa kichwa cha familia sio mpaka uoe unaweza ukaishi na watu ukawaongoza na kuwatimizia mahitaji yao kama familia na ukawa kichwa cha familia