hapo ndo hapaeleweki kabisa, is it not sharing is caring anymore?
Mwenge umeacha kupita kila kijiji lini?
Muulize jamaa anaishi wapi ukajaribu bahati yako.
Mwenge?
Unapitaga wapi na lini?Mara ya mwisho kujali maswala ya mwenge nilikua na miaka minne.
Hii dizaini ya kwa mtogole, na kale ka-starlet aka baby walker sijui kama njia inapitika na mvua hizi,lol
You are missing the adventures
nikiwabahatisha hawa huwa silembi..utapoteza bahati..unakuta mwenyewe mtamu kama supu ya kongoro mweee! Dhubutu!
Hakuna msaada usio na malengoNyie nanyi wagumu kuelewa.
Mshkaji anaongelea wanawake ambao wanavutiwa na kutaka kutembea na wanaume ambao wanajua fika wana watoto na familia nyumbani. Gia yao ni kujifanya rafiki mkubwa sana wa mkewe au hamjui kabisa, alafu siku mwanaume akiwa na shida ambayo huyo mwanamke anaweza kumsaidia nayo anamkamatia hapo.
Nyie nanyi wagumu kuelewa.
Mshkaji anaongelea wanawake ambao wanavutiwa na kutaka kutembea na wanaume ambao wanajua fika wana watoto na familia nyumbani. Gia yao ni kujifanya rafiki mkubwa sana wa mkewe au hamjui kabisa, alafu siku mwanaume akiwa na shida ambayo huyo mwanamke anaweza kumsaidia nayo anamkamatia hapo.
Hehehehe vyote nadhani maana para ya kwanza inamuongelea huyu mwanamke jinsi asivyo mstaarabu na ya pili inasihi wanaume wawe na msimamo.Sasa Lizzy hapo issue ni kuwa na familia na watoto au jamaa kutaka kuliwa uroda through shida zake??
Angekuwa hana familia ndo akubali kutumiwa through problems??