Ongea tu Liz mi wala sifichi kitu mambo yote hadharani wote waone,sema dearest.
Enhe juzi ulivyoaga tu kipenzi chako kikaingia!Alivyokuita kwa shari mpaka nikaondoka eneo la tukio bila hata kuaga!
Kipenzi changu ni wewe tu na kila kitu nimeweka kimaandishi kila mtu aone wala siongei vichochoroni na hata my ex alipoona sijakanusha kitu.Enhe juzi ulivyoaga tu kipenzi chako kikaingia!Alivyokuita kwa shari mpaka nikaondoka eneo la tukio bila hata kuaga!
Samahani baba mchungaji!Nimepitiwa kidogo...embu njoo tule kwanza!Baby unachat kwenye thread ya jamaa! Kibaya zaidi na Uporoto01 mwenye kesi
Kipenzi changu ni wewe tu na kila kitu nimeweka kimaandishi kila mtu aone wala siongei vichochoroni na hata my ex alipoona sijakanusha kitu.
Mbona tunarudi nyuma dearest tulishaongea kutambulishana labda sasa tuongelee kama mila zenu nakuja peke yangu au na mjomba/ba mdogo.Mhhh mhhh mmhhh!That's all i'm gona say!Haya jamani tutokeni kwenye thread ya watu kabla hatujapigwa ban!
Mbona tunarudi nyuma dearest tulishaongea kutambulishana labda sasa tuongelee kama mila zenu nakuja peke yangu au na mjomba/ba mdogo.
Hapana dearest mi sio Hash kugonganisha watu na kauli zangu zote zitadhihirisha uko peke yako.Dearest nimesikia kuna watu hua wanatembezewa kichapo kwa mambo kama haya...sitaki kua mmoja wao!
Love is blind :wink2:
Najaribu kufikiria sipati jibu Nini hasa wanaume hutufanye tuhangaike kiasi hicho?/Mfano unahangaikia demu hujampata anaweza akakuita ukaacha shughuli zako ukiwa Kibaha ukaenda Kinondoni na ukufika pale Mwanamke anakuomba lift umpeleke Sinza saloon na hauoni kama nigharama wala nini !!Je nini kitusumbua cho??Je Ni umbile Je ni Vyombo??Kama ni Maumbile mbona hatuhangaiki nayo wakati majambozi??Je kama ni vyombo mbona vyote muundo wake niulule hata harufu asilia niileile??Kwa nini tusibaki na tulionao??Najitahidi kupingana na matakwa yangu nimeshindwa nauliza kwenu!!
Duh!! mbona mie jamani sijampata mwanaume wa kihivyo????????????? wakunipeleka salon, kunipeleka Mlimani City kufanya shopping, au hata kunikopea kwa Mangi eeh!! aaaaaaaahhhhhhhh !!
homu boyi umeacha kuhonga siku hizi?ukion ivo ujue bado hujampata zuzu....
homu boyi umeacha kuhonga siku hizi?
Habari yake muzuri hommie.hommie umesahau...uwezo wa kuhonga sina miye mtoto wa mkulima....wahongaji huwajui.....wale mabepari wale na makabaila hahaha
habar yake hommie.....:car::car::car:
nOt LOVE IS DEaF??