Wanaume kinachotuhangaisha nini??

Ongea tu Liz mi wala sifichi kitu mambo yote hadharani wote waone,sema dearest.

Enhe juzi ulivyoaga tu kipenzi chako kikaingia!Alivyokuita kwa shari mpaka nikaondoka eneo la tukio bila hata kuaga!
 
Enhe juzi ulivyoaga tu kipenzi chako kikaingia!Alivyokuita kwa shari mpaka nikaondoka eneo la tukio bila hata kuaga!

Baby unachat kwenye thread ya jamaa! Kibaya zaidi na Uporoto01 mwenye kesi
 
Enhe juzi ulivyoaga tu kipenzi chako kikaingia!Alivyokuita kwa shari mpaka nikaondoka eneo la tukio bila hata kuaga!
Kipenzi changu ni wewe tu na kila kitu nimeweka kimaandishi kila mtu aone wala siongei vichochoroni na hata my ex alipoona sijakanusha kitu.
 
Hii ni dhambi pekee ambayo kama Mungu atatoa msamaha siku ya kiama basi Mbinguni kutajaa sana na kupata siti itakuwa shida.
 
Kipenzi changu ni wewe tu na kila kitu nimeweka kimaandishi kila mtu aone wala siongei vichochoroni na hata my ex alipoona sijakanusha kitu.

Mhhh mhhh mmhhh!That's all i'm gona say!Haya jamani tutokeni kwenye thread ya watu kabla hatujapigwa ban!
 
Mhhh mhhh mmhhh!That's all i'm gona say!Haya jamani tutokeni kwenye thread ya watu kabla hatujapigwa ban!
Mbona tunarudi nyuma dearest tulishaongea kutambulishana labda sasa tuongelee kama mila zenu nakuja peke yangu au na mjomba/ba mdogo.
 
Mbona tunarudi nyuma dearest tulishaongea kutambulishana labda sasa tuongelee kama mila zenu nakuja peke yangu au na mjomba/ba mdogo.

Dearest nimesikia kuna watu hua wanatembezewa kichapo kwa mambo kama haya...sitaki kua mmoja wao!
 
Dearest nimesikia kuna watu hua wanatembezewa kichapo kwa mambo kama haya...sitaki kua mmoja wao!
Hapana dearest mi sio Hash kugonganisha watu na kauli zangu zote zitadhihirisha uko peke yako.
 
Mtasema mengi sana lakini haya ni mambo ya kawaida ambayo tumeyakuta, tutayaacha, hivyo sio mambo mageni hata wake zetu wanajua hawako pekee yao.
 
ni tamaa tu za mwili, na kinachokuhaingaisha ni kufurahisha nafsi yako
 
Mtasema mengi sana lakini haya ni mambo ya kawaida ambayo tumeyakuta, tutayaacha, hivyo sio mambo mageni hata wake zetu wanajua hawako pekee yao.
 

Ni shetani tu anayetusumbua. Tuombe Mungu atatuwezesha kuishi maisha matakatifu.
 
Duh!! mbona mie jamani sijampata mwanaume wa kihivyo????????????? wakunipeleka salon, kunipeleka Mlimani City kufanya shopping, au hata kunikopea kwa Mangi eeh!! aaaaaaaahhhhhhhh !!
 
Duh!! mbona mie jamani sijampata mwanaume wa kihivyo????????????? wakunipeleka salon, kunipeleka Mlimani City kufanya shopping, au hata kunikopea kwa Mangi eeh!! aaaaaaaahhhhhhhh !!

ukion ivo ujue bado hujampata zuzu....
 
homu boyi umeacha kuhonga siku hizi?

hommie umesahau...uwezo wa kuhonga sina miye mtoto wa mkulima....wahongaji huwajui.....wale mabepari wale na makabaila hahaha

habar yake hommie.....:car::car::car:
 
hommie umesahau...uwezo wa kuhonga sina miye mtoto wa mkulima....wahongaji huwajui.....wale mabepari wale na makabaila hahaha

habar yake hommie.....:car::car::car:
Habari yake muzuri hommie.
Lakini homu boi kuhonga ni kuhonga tu tunatofautiana uwezo wengine wanahonga meli sie tunahonga peni!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…