Wanaume kinachotuhangaisha nini??


Ni umbile..na ilianza tangu enzi za Biblia..kumbuka chabo ya kwanza kurekodiwa katika kitabu? Ya mfalme daudi akimpiga chabo mke wa kamanda wa jeshi lake akioga? Hii kitu ipo ilikuepo na itakuepo..hata mwanamama ajifunike buibui kila sehem bado maumbile yataku2ma kumkagua na kumtamani.
 
twende nyuma turudi mbele mwanamke ambae hujamtumia anaraha yake jaman,hata utam ni tofauti na unayemla kila sikuuu
 
Ukiona mahangaiko ya namna hiyo ujue kuna sababu
 
Nimeipenda!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…