Wanaume kuigiza nafasi za kike kwenye sanaa, inakwaza

Wanaume kuigiza nafasi za kike kwenye sanaa, inakwaza

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
miaka ya nyuma ilikuwa si jambo baya kumsikia mwanamuzi akiimba wimbo kwa nafasi ya mwanamke akimsemea kwa kuwa wanawake wengi hawakuwa waimbaji katika bands. mfano wimbo wa kassongo ni mwanamke anayelalamika juu ya mumewe ambaye alimtelekeza. haikuwa shida kwa miaka hiyo tulijua ni namna tu ya kufikisha ujumbe. zipo nyimbo kama "Mume wangu jerry" , "Talaka rejea " n.k sisi wazee wa miaka ile kwetu haikuwa changamoto tulijua tatizo ni nini. na tuliimba na kucheza bila shida.

Miaka hii limeibuka wimbi kubwa la wasanii wakidhani wanachekesha kuigiza kama wanawake na hali wao ni wanaume. kwa kweli huu ni upuuzi na inatia kinyaa, kichefuchefu na kutapisha unapoangalia kila unapobadili channel unakuta kuna kipindi kina wapumbavu kama hao wakiwa wamevaa nguo za kike na kujipodoa wakiigiza kama wanawake.

sisi wakati tunakua ilikuwa ni mwiko kwa mtoto wa kiume hata kushika wanja na lipstick. ni mwiko. mwanaume ulikuwa hutumwi na dada zako kuwaletea hivyo vitu kabisa. mimi nakumbuka siku moja nilimwashia moto sister aliniambia nimsadie kupeleka nguo ndani baada ya kuanua kumbe ndani yake kulikuwa na sidiria yake. wakati naziweka chini nikaona imedondoka. nilikasirika sana na kwenda kunawa mikono. nilimwambia mama ambaye alimfokea sana sister kuwa inakuaje ananishikisha sidiria zake. na ukweli mpaka leo mimi nilikuwa sijui chupi zao akina dada wanaanika wapi. pia sikuwa hata naruhusiwa kuingai room kwao baada ya kufika miaka kadhaa hivi.

leo hii vijana wanaona kawaida tu kuigiza kama wanawake. tena wana weka na pozi za kike kabisa. hili suala lilinifanya niliporudi TZ nikatae kuweka decoder ya Azam TV maana naona imejaa vipindi vingi vya kipumbavu. nikaja kuta hata DSTV nako hayo mataka taka yamekuja. basi nikapiga pin tu. hakuna kuangalia cartoons au michezo ya kiswahili na cinemas zote zenye mambo ya kipuuuzi. madogo wanaangalia vipind ambavyo nimechagua mimi.

lakini nadhani kuna sehemu kama taifa tunakosea na hatujajua bado kuwa tunakosea. why mwanaume uigize kama mwanamke? ni kuleta picha mbaya sana kwa jamii. na hapo inaanza kuleta hisia kuwa ooooh.... kumbe mwanaume anaweza kuwa mwanamke? lakini ni ishara ya vinasaba vya ushoga ndani yake. MWANAUME ANAYEPENDA KUIGIZA KAMA MWANAMKE MAANA YAKE ANAPENDA KUWA MWANAMKE SEMA BASI TU. ama sivyo huwezi mimi chizi maarifa ukaniambia niigize kama mwanamke. haitwezekana kamwe. na utaona tu ni ngumu sina pozi za kike na sitamani na nitashindwa.

nafasi hiyo mfundishe mwanamke ataigiza vizuri tu ibaki na uhalisia wake. yaani unaona mtu anashikwa makalio sababu anaigiza kama mwanamke anacheka tu au sijui nani aliwaambia ili mchekeshe basi igizeni kama wanawake. mnatia kinyaa sana na kichefu chefu.
 
Ukosefu wa ajira, utoto, kutamani maisha mazuri bila kutumia nguvu sana na malezi mabaya (kutokemewa na wazazi wao na jamii) vinachangia hili. Tunahitaji kuwa na mjadala wa kitaifa juu ya kesho ya vijana ambao ndio "wababa" wa kesho. Sijui watakaowazaa watakuaje.
 
Wanajificha kwenye sanaa ni kazi ya ubunifu ya kuwasilisha wazo lililo katika akili ya msanii ikiwa ni pamoja na kutumia picha km katuni ila kiujumla huu mtindo wa mwanaume kuvaaa uhusika wa wanawake unapigiwa sana chapuo na wanaharakati na wadau wa upinde ili kufanya iwe kama kirainishi cha kupenyeza na kuukubali uchoko bila ganzi maana na ndio maaana ili upatikane ushoga ni lazma mwanaume abehave kama mwanamke katika uongeaji,uvaaji,utembeaji mikogo na mikao,kupokea taarifa,kutoa taarifa,kuonyesha hisia, kula body positioning na socialize na jamii sasa ili haya yote yawaingie watoto wa kiume na kuukubali uchoko lazima itafitwe njia ta kuingiza katika akili zao na njia kubwa kuliko ni sanaaa
 
inasikitisha sana.. kila uchwao maadili yanaporomoka na wenye dhamana ya kusimamia kama BASATA wameufyata...

mkuu siku hzi ni kuangalia maisha yako tu ya wengne waachie wao....
Kuigiza kama mwanamke unavunja sheria ipi mpaka BASATA ikuchukulie hatua?
 
miaka ya nyuma ilikuwa si jambo baya kumsikia mwanamuzi akiimba wimbo kwa nafasi ya mwanamke akimsemea kwa kuwa wanawake wengi hawakuwa waimbaji katika bands. mfano wimbo wa kassongo ni mwanamke anayelalamika juu ya mumewe ambaye alimtelekeza. haikuwa shida kwa miaka hiyo tulijua ni namna tu ya kufikisha ujumbe. zipo nyimbo kama "Mume wangu jerry" , "Talaka rejea " n.k sisi wazee wa miaka ile kwetu haikuwa changamoto tulijua tatizo ni nini. na tuliimba na kucheza bila shida.

Miaka hii limeibuka wimbi kubwa la wasanii wakidhani wanachekesha kuigiza kama wanawake na hali wao ni wanaume. kwa kweli huu ni upuuzi na inatia kinyaa, kichefuchefu na kutapisha unapoangalia kila unapobadili channel unakuta kuna kipindi kina wapumbavu kama hao wakiwa wamevaa nguo za kike na kujipodoa wakiigiza kama wanawake.

sisi wakati tunakua ilikuwa ni mwiko kwa mtoto wa kiume hata kushika wanja na lipstick. ni mwiko. mwanaume ulikuwa hutumwi na dada zako kuwaletea hivyo vitu kabisa. mimi nakumbuka siku moja nilimwashia moto sister aliniambia nimsadie kupeleka nguo ndani baada ya kuanua kumbe ndani yake kulikuwa na sidiria yake. wakati naziweka chini nikaona imedondoka. nilikasirika sana na kwenda kunawa mikono. nilimwambia mama ambaye alimfokea sana sister kuwa inakuaje ananishikisha sidiria zake. na ukweli mpaka leo mimi nilikuwa sijui chupi zao akina dada wanaanika wapi. pia sikuwa hata naruhusiwa kuingai room kwao baada ya kufika miaka kadhaa hivi.

leo hii vijana wanaona kawaida tu kuigiza kama wanawake. tena wana weka na pozi za kike kabisa. hili suala lilinifanya niliporudi TZ nikatae kuweka decoder ya Azam TV maana naona imejaa vipindi vingi vya kipumbavu. nikaja kuta hata DSTV nako hayo mataka taka yamekuja. basi nikapiga pin tu. hakuna kuangalia cartoons au michezo ya kiswahili na cinemas zote zenye mambo ya kipuuuzi. madogo wanaangalia vipind ambavyo nimechagua mimi.

lakini nadhani kuna sehemu kama taifa tunakosea na hatujajua bado kuwa tunakosea. why mwanaume uigize kama mwanamke? ni kuleta picha mbaya sana kwa jamii. na hapo inaanza kuleta hisia kuwa ooooh.... kumbe mwanaume anaweza kuwa mwanamke? lakini ni ishara ya vinasaba vya ushoga ndani yake. MWANAUME ANAYEPENDA KUIGIZA KAMA MWANAMKE MAANA YAKE ANAPENDA KUWA MWANAMKE SEMA BASI TU. ama sivyo huwezi mimi chizi maarifa ukaniambia niigize kama mwanamke. haitwezekana kamwe. na utaona tu ni ngumu sina pozi za kike na sitamani na nitashindwa.

nafasi hiyo mfundishe mwanamke ataigiza vizuri tu ibaki na uhalisia wake. yaani unaona mtu anashikwa makalio sababu anaigiza kama mwanamke anacheka tu au sijui nani aliwaambia ili mchekeshe basi igizeni kama wanawake. mnatia kinyaa sana na kichefu chefu.
🤣🤣🤣 ni upuuzi kwa kweli
 
miaka ya nyuma ilikuwa si jambo baya kumsikia mwanamuzi akiimba wimbo kwa nafasi ya mwanamke akimsemea kwa kuwa wanawake wengi hawakuwa waimbaji katika bands. mfano wimbo wa kassongo ni mwanamke anayelalamika juu ya mumewe ambaye alimtelekeza. haikuwa shida kwa miaka hiyo tulijua ni namna tu ya kufikisha ujumbe. zipo nyimbo kama "Mume wangu jerry" , "Talaka rejea " n.k sisi wazee wa miaka ile kwetu haikuwa changamoto tulijua tatizo ni nini. na tuliimba na kucheza bila shida.

Miaka hii limeibuka wimbi kubwa la wasanii wakidhani wanachekesha kuigiza kama wanawake na hali wao ni wanaume. kwa kweli huu ni upuuzi na inatia kinyaa, kichefuchefu na kutapisha unapoangalia kila unapobadili channel unakuta kuna kipindi kina wapumbavu kama hao wakiwa wamevaa nguo za kike na kujipodoa wakiigiza kama wanawake.

sisi wakati tunakua ilikuwa ni mwiko kwa mtoto wa kiume hata kushika wanja na lipstick. ni mwiko. mwanaume ulikuwa hutumwi na dada zako kuwaletea hivyo vitu kabisa. mimi nakumbuka siku moja nilimwashia moto sister aliniambia nimsadie kupeleka nguo ndani baada ya kuanua kumbe ndani yake kulikuwa na sidiria yake. wakati naziweka chini nikaona imedondoka. nilikasirika sana na kwenda kunawa mikono. nilimwambia mama ambaye alimfokea sana sister kuwa inakuaje ananishikisha sidiria zake. na ukweli mpaka leo mimi nilikuwa sijui chupi zao akina dada wanaanika wapi. pia sikuwa hata naruhusiwa kuingai room kwao baada ya kufika miaka kadhaa hivi.

leo hii vijana wanaona kawaida tu kuigiza kama wanawake. tena wana weka na pozi za kike kabisa. hili suala lilinifanya niliporudi TZ nikatae kuweka decoder ya Azam TV maana naona imejaa vipindi vingi vya kipumbavu. nikaja kuta hata DSTV nako hayo mataka taka yamekuja. basi nikapiga pin tu. hakuna kuangalia cartoons au michezo ya kiswahili na cinemas zote zenye mambo ya kipuuuzi. madogo wanaangalia vipind ambavyo nimechagua mimi.

lakini nadhani kuna sehemu kama taifa tunakosea na hatujajua bado kuwa tunakosea. why mwanaume uigize kama mwanamke? ni kuleta picha mbaya sana kwa jamii. na hapo inaanza kuleta hisia kuwa ooooh.... kumbe mwanaume anaweza kuwa mwanamke? lakini ni ishara ya vinasaba vya ushoga ndani yake. MWANAUME ANAYEPENDA KUIGIZA KAMA MWANAMKE MAANA YAKE ANAPENDA KUWA MWANAMKE SEMA BASI TU. ama sivyo huwezi mimi chizi maarifa ukaniambia niigize kama mwanamke. haitwezekana kamwe. na utaona tu ni ngumu sina pozi za kike na sitamani na nitashindwa.

nafasi hiyo mfundishe mwanamke ataigiza vizuri tu ibaki na uhalisia wake. yaani unaona mtu anashikwa makalio sababu anaigiza kama mwanamke anacheka tu au sijui nani aliwaambia ili mchekeshe basi igizeni kama wanawake. mnatia kinyaa sana na kichefu chefu.
Kwa kweli inakera kupita kiasi, na wameanza kuona kama vile ni fashion, inasikitisha
 
Kwa kweli inakera kupita kiasi, na wameanza kuona kama vile ni fashion, inasikitisha
Halafu basata na bodi ya filamu wametulia, wao wapo makini kufungua kazi ikiwa na lugha mbaya ila cha kujiuliza msanii ni kioo cha jamii si ndio hivi kipi ni kibaya zaidi kuwa na mtoto anayeiga kutumia lugha chafu au mtoto wa kiume anayeiga kuvaa na ku behave kama mwanamke.
 
Enzi zenu kuimba nyimbo kama wanawake na ninyi mkaserebuka ni sawa ila siku hizi haifai??

Hizo enzi zenu hakukua na wanawake kabisa, jamii ilijazwa na wanaume pekee??
Kama ilivyokua enzi zenu hakukua na mwanamke anafit kwenye hizo ngoma basi na zama hizi hizo scene hakuna mwanamke anafaa ndio maana wanaigiza wenyewe.
 
miaka ya nyuma ilikuwa si jambo baya kumsikia mwanamuzi akiimba wimbo kwa nafasi ya mwanamke akimsemea kwa kuwa wanawake wengi hawakuwa waimbaji katika bands. mfano wimbo wa kassongo ni mwanamke anayelalamika juu ya mumewe ambaye alimtelekeza. haikuwa shida kwa miaka hiyo tulijua ni namna tu ya kufikisha ujumbe. zipo nyimbo kama "Mume wangu jerry" , "Talaka rejea " n.k sisi wazee wa miaka ile kwetu haikuwa changamoto tulijua tatizo ni nini. na tuliimba na kucheza bila shida.

Miaka hii limeibuka wimbi kubwa la wasanii wakidhani wanachekesha kuigiza kama wanawake na hali wao ni wanaume. kwa kweli huu ni upuuzi na inatia kinyaa, kichefuchefu na kutapisha unapoangalia kila unapobadili channel unakuta kuna kipindi kina wapumbavu kama hao wakiwa wamevaa nguo za kike na kujipodoa wakiigiza kama wanawake.

sisi wakati tunakua ilikuwa ni mwiko kwa mtoto wa kiume hata kushika wanja na lipstick. ni mwiko. mwanaume ulikuwa hutumwi na dada zako kuwaletea hivyo vitu kabisa. mimi nakumbuka siku moja nilimwashia moto sister aliniambia nimsadie kupeleka nguo ndani baada ya kuanua kumbe ndani yake kulikuwa na sidiria yake. wakati naziweka chini nikaona imedondoka. nilikasirika sana na kwenda kunawa mikono. nilimwambia mama ambaye alimfokea sana sister kuwa inakuaje ananishikisha sidiria zake. na ukweli mpaka leo mimi nilikuwa sijui chupi zao akina dada wanaanika wapi. pia sikuwa hata naruhusiwa kuingai room kwao baada ya kufika miaka kadhaa hivi.

leo hii vijana wanaona kawaida tu kuigiza kama wanawake. tena wana weka na pozi za kike kabisa. hili suala lilinifanya niliporudi TZ nikatae kuweka decoder ya Azam TV maana naona imejaa vipindi vingi vya kipumbavu. nikaja kuta hata DSTV nako hayo mataka taka yamekuja. basi nikapiga pin tu. hakuna kuangalia cartoons au michezo ya kiswahili na cinemas zote zenye mambo ya kipuuuzi. madogo wanaangalia vipind ambavyo nimechagua mimi.

lakini nadhani kuna sehemu kama taifa tunakosea na hatujajua bado kuwa tunakosea. why mwanaume uigize kama mwanamke? ni kuleta picha mbaya sana kwa jamii. na hapo inaanza kuleta hisia kuwa ooooh.... kumbe mwanaume anaweza kuwa mwanamke? lakini ni ishara ya vinasaba vya ushoga ndani yake. MWANAUME ANAYEPENDA KUIGIZA KAMA MWANAMKE MAANA YAKE ANAPENDA KUWA MWANAMKE SEMA BASI TU. ama sivyo huwezi mimi chizi maarifa ukaniambia niigize kama mwanamke. haitwezekana kamwe. na utaona tu ni ngumu sina pozi za kike na sitamani na nitashindwa.

nafasi hiyo mfundishe mwanamke ataigiza vizuri tu ibaki na uhalisia wake. yaani unaona mtu anashikwa makalio sababu anaigiza kama mwanamke anacheka tu au sijui nani aliwaambia ili mchekeshe basi igizeni kama wanawake. mnatia kinyaa sana na kichefu chefu.
Hahaha
 
Back
Top Bottom