Wa humu habari zenu!!!
Binafsi nazidi kushangazwa sana na hizi haki hasa kwa akina mama.
Licha ya wanaume kuitwa mabuzu kwa miaka mingi sana haijatokea hata mara moja kauli hiyo kupigwa marufuku.Mambo yameendele na hata kina mama kuhalalisha kabisa mavaz ya akina baba na wasionekane wenye mapungufu,ila kwa mwanaume ukivaa japo gaun basi ww mwehu.
Sasa msemo mpya wa "chura" utaenda na watu.
Hivi hizi haki ni kwa akina mama tu!?