Wanaume kumbambikiwa mimba. Salam tok Dina

Wanaume kumbambikiwa mimba. Salam tok Dina

Somoe

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2010
Posts
754
Reaction score
282
Wanaume wote wanashauriwa wapime vyote kabla ya ndo. Hiv na mimba pia ili msibambikiwe aise.

Kuna dume moja, alikaona kabinti akakapenda na kupima hiv tu na kukaoa haraka haraka. Madada zake shamla shamla, wakakopa kwa ajiri ya harusi ya kaka yao mpendwa. Harusi la nguvu likapita, heheh. Ilipo bainika kuwa bi harusi anamimba ya miezi 3 ya mtu mwingine, tayari kajaa chumbani kama njiwa anaetaka kutaga vile, aise. Rafiki kipenzi chake bi harusi, akamshtua bwana harusi kuwa kanasa mtegoni. Bi harusi kakutwa na mimba ya miezi 3, ndoa imekufa. Mawifi wamechachamaa na kushauri makaka wote wapime hivi na mimba pia kabla ya ndoa. Na mabinti muache kubambikia vijana wa watu mambimba, hata aibu hamuoni😛ainkiller:😛ainkiller:😛ainkiller:
 
Hilo la kubambikiziana watajua wenyewe...ila huyo rafiki hafai kuitwa rafiki!!!Achomwe mdomo!!!
 
Kumbe ndo dawa si kupima HIV na mimba pia! Kwa maana hiyo kabla hamjachakachuana vipimo mbele kana tai
 
Mhh uchumba na ndoa ndani ya miezi 3!! kweli haraka haraka haina baraka
 
huyo bwana angekubali kulea tu hamna noma wala nini
kwani si alipenda wife na kabla ya hapo alikuwa anachakachua kwingine
je huko kama na yule nae kafanya hivohivo sasa itakuwaje?
 
na tunawabambikia sana tu hata kama ukipima kabla unaona haipo na mwanamke akishaolewa
nje tunaenda kama kawa na mimba twabeba kwani nini?
nyie vidume mimba ngapi mnagawa nje kwa nini na nyie msigawiwe
heeee mtalea sana na twajua kufananisha mzeee ana bichwa na mdada sharti umtafute mwenye bichwa
mweupe make sure na mwenzake ni mweupe........ mla huliwa huu ni utaratibu tu jamani.
Haka ka utaratibu nakapenda sasa mie :teeth:
 
na tunawabambikia sana tu hata kama ukipima kabla unaona haipo na mwanamke akishaolewa
nje tunaenda kama kawa na mimba twabeba kwani nini?
Nyie vidume mimba ngapi mnagawa nje kwa nini na nyie msigawiwe
heeee mtalea sana na twajua kufananisha mzeee ana bichwa na mdada sharti umtafute mwenye bichwa
mweupe make sure na mwenzake ni mweupe........ Mla huliwa huu ni utaratibu tu jamani.
Haka ka utaratibu nakapenda sasa mie :teeth:

this is what i call schizophrenic lamprophony
 
Hata ufanye nini mwanamke akiamua kukumbambikia mtoto wala hutojua,kama si mimba ya kwanza basi hata ya pili au ya tatu,familia nyingi watoto si wa baba halisi bali wa mwanaume/wanaume wengine wa nje.Kwa kifupi siku hizi kama unataka kuoa ni kumuomba Mungu tu akuepushe na hilo na si vinginevyo.
 
kama mtoto hana baba unataka tufanyeje?unambambikia mwenye kuweza kulea tu,kwan suala si kuwa baba tu!unatoa lami unaweka lami maendeleo yanasonga
'mama hapigiwi kura,watoto siri ya mama'
 
kama mtoto hana baba unataka tufanyeje?unambambikia mwenye kuweza kulea tu,kwan suala si kuwa baba tu!unatoa lami unaweka lami maendeleo yanasonga
'mama hapigiwi kura,watoto siri ya mama'

Ooohh!!! Kumbe now i know
 
huyo bwana angekubali kulea tu hamna noma wala nini
kwani si alipenda wife na kabla ya hapo alikuwa anachakachua kwingine
je huko kama na yule nae kafanya hivohivo sasa itakuwaje?

hakuan hiyo...asilani....has kwa dume la kweli la kiafrika!!
 
huyo bwana angekubali kulea tu hamna noma wala nini
kwani si alipenda wife na kabla ya hapo alikuwa anachakachua kwingine
je huko kama na yule nae kafanya hivohivo sasa itakuwaje?

alimpenda sana tena sana inaviskika heheh
 
Back
Top Bottom