Wanaume kumi wanaongoza kwa utajiri JF

tuma cv na picha yako dada... wala hamna shida na si lazima iwe hiyo inaweza hata kuwa zaidi la msingi ni utendaji kazi na jinsi ulivyo. mi huwa napenda kuwaajiri wadada wazuri ambao hata wageni wangu wakija wanafurahi kuhudumiwa nao.
Cv ipo njiani...vigezo ninavyo Boss wangu
 
wanaume wenye mkwanja mrefu jf
Kulingana na utafiti wangu binafsi
Tafadhali changia kwa upendo
1.Troll

2.saint ivuga

3.mshana Jr

4.Daby

5.smart911

6.mtimkavu

7.Ontario

8.kikulacho

9.nyani ngabu

10.Gudume

Sent using Jamii Forums mobile app
Weweee [emoji323] [emoji322] [emoji323] [emoji322] [emoji322] [emoji817] [emoji781] [emoji779] tumia pesa ikuzoee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unazungusha ngapi mkuu ? Me nimshauri mzuri kwenye mambo ya uchumi
 
tuma cv na picha yako dada... wala hamna shida na si lazima iwe hiyo inaweza hata kuwa zaidi la msingi ni utendaji kazi na jinsi ulivyo. mi huwa napenda kuwaajiri wadada wazuri ambao hata wageni wangu wakija wanafurahi kuhudumiwa nao.
Mkuu me ni wa kiume naomba uniajiri tu hata pesa tu ya bundle inanishinda.naomba niwe natunza bustani yako no yangu ni 0732343627269 asantee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MODS TUNAOMBA HUU UZI UUNGANISHWE NA ULE WA MWAKA JANA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…