*WANAUME KUNA VITU LAZIMA TUVIELEWE KWA WANAWAKE.*

*WANAUME KUNA VITU LAZIMA TUVIELEWE KWA WANAWAKE.*

Alvin A.

JF-Expert Member
Joined
Oct 14, 2016
Posts
2,865
Reaction score
3,633
Biblia inasema: *MWANAMKE NI KIUMBE DHAIFU*

hapo hapo inasema *TUKAE NAO KWA AKILI.*

Na bado inasema *MWANAMKE NI JESHI KUBWA*

Swali?
Walijifunza saa ngapi uwanajeshi na ili kudhibitisha kwamba ni mwanajeshi Mungu anamtuma kwa mwanamme amlinde.

Yeremia 31:22 .... *Kwa maana Bwana ameumba jambo jipya duniani;* *mwanamke atamlinda mwanamume.*

KUMBUKA HILI MWANAUME MWENZANGU.

●Mtu wa kwanza kukutana na SHETANI live ni mwanamke pamoja na kwamba walizungumza mengi na kula tunda kiukweli hatujui mengine waliozungumza mbali na kula tunda.

●MWANAMKE aliumbwa ukiwa usingizini wewe MWANAUME hujui ni kitu gani walichozungumza na Mungu kabla ya wewe kuzinduka.

●MWANAMKE ndiye aliyemwelewa Mungu alipoambiwa ana mimba ya Roho Mtakatifu wewe MWANAUME ulitaka kumkimbia badala ya kukabiliana na changamoto hiyo.

●MWANAMKE ndiye mtu wa kwanza kwenda kuhakikisha kama kweli Yesu amefufuka na kusambaza habari.

●MWANAMKE ndiye anayeongoza kwa ushawishi mkubwa mwanaume huna ujanja mfano.
■Eva kwa Adamu
■Delila kwa Samson
■Ester kwa Ahasuero
■Raheli kwa Labani n.k

> *Usimuudhi mke wako ana siri kubwa sana usione kakaa na wewe anakuvumilia pamoja na ukatili wako.*

> *Anaweza akatekeleza walichozungumza na Mungu au anaweza kutekeleza alichozungumza na shetani*
Oohoo! Tafakari ndugu yangu, chukua hatua
[emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji125][emoji125]
IMG-20191009-WA0000.jpeg
 
Biblia inasema: *MWANAMKE NI KIUMBE DHAIFU*

hapo hapo inasema *TUKAE NAO KWA AKILI.*

Na bado inasema *MWANAMKE NI JESHI KUBWA*

Swali?
Walijifunza saa ngapi uwanajeshi na ili kudhibitisha kwamba ni mwanajeshi Mungu anamtuma kwa mwanamme amlinde.

Yeremia 31:22 .... *Kwa maana Bwana ameumba jambo jipya duniani;* *mwanamke atamlinda mwanamume.*

KUMBUKA HILI MWANAUME MWENZANGU.

●Mtu wa kwanza kukutana na SHETANI live ni mwanamke pamoja na kwamba walizungumza mengi na kula tunda kiukweli hatujui mengine waliozungumza mbali na kula tunda.

●MWANAMKE aliumbwa ukiwa usingizini wewe MWANAUME hujui ni kitugani walichozungumza na Mungu kabla ya wewe kuzinduka.

●MWANAMKE ndiye aliyemwelewa Mungu alipoambiwa ana mimba ya Roho Mtakatifu wewe MWANAUME ulitaka kumkimbia badala ya kukabiliana na changamoto hiyo.

●MWANAMKE ndiye mtu wa kwanza kwenda kuhakikisha kama kweli Yesu amefufuka na kusambaza habari.

●MWANAMKE ndiye anayeongoza kwa ushawishi mkubwa mwanaume huna ujanja mfano.
■Eva kwa Adamu
■Delila kwa Samson
■Ester kwa Ahasuero
■Raheli kwa Labani n.k

> *Usimuudhi mke wako ana siri kubwa sana usione kakaa na wewe anakuvumilia pamoja na ukatili wako.*

> *Anaweza akatekeleza walichozungumza na Mungu au anaweza kutekeleza alichozungumza na shetani*
oohoo! Tafakari ndugu yangu, chukua hatua
[emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji1322][emoji125][emoji125]View attachment 1227891
Ujumbe mzuri
 
Ningependa kuona hiyo sehemu ya Biblia inayosema ,,tukae nao kwa akili“!
 
Back
Top Bottom