Wanaume kunyimwa makalio ni laana ama bahati mbaya???

Wanaume kunyimwa makalio ni laana ama bahati mbaya???

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Wapendwa tusaidiane kidogo mbona madada wengi wamejaliwa hizi sehemu lakini ukija kwa wanaume kweli wengi wamepata bahati mbaya ya kuwa bapa ama mbinuko kabisa
swali langu ni utengenezaji kwenye uumbwaji ama ni laana kwa wanaume ...iweje mtoto mdogo aanze kuchanua gafla wakati jitu lizima linakula pombe na kiti moto kila siku akiwa bapa...
masaada
kumradhi kwa wenye@#$%^i
 
Yalaaaaahhhh wa shababi!!!
 
SAMSON haya ndo maswali gani kuwauliza ma geat thinkers ...
Nasikia Hangover :argue:
 
wale wanaosema JF imefulia nadhani samtaimu wako sahihi. (heri mimi sijasema!)
 
Samsoni wewe una makalio makubwa au madogo au bapa kabisa????
 
Huyu jamaa aliyeleta mada hii nafikiri atakuwa abnormal, huwezi kwa mwanaume ukalilia kuwa na makalio makubwa for what, leteni mada za maana na siyo upuuzi wa hovyohovyo
 
Unataka wanaume wawe na makalio makubwa ili iweje ?.
Mwenzetu mtu wa Pwani nini ?.
 
unajua mra ya kwanza nilikuwa sija lisoma jina lako vizuri ila sasa nimeelewa kwanini unaongea utumbo
 
Nilikuwa na wasiwasi na dini yako lakini kama unaitwa samsoni hata kama ni ya bandia basi nashikwa na bumbuazi...aka sikuelewi ulifikilia kitu gani mpaka kuamua kuweka uozo huu hapa jamvini
 
Kasi ya ushoga inaongoza kwa kasi kubwa sana sijui kwa nini. Na siku hizi wengi wamejua matumizi machafu ya internet ndio basi tena
 
Msameheni bure huyo, ndani ya Jamii yeyote ile watu kama SamsonMalila wapo? Ni mawazo yake labda kuna research anafanya...
 
wale wanaosema JF imefulia nadhani samtaimu wako sahihi. (heri mimi sijasema!)

Bora na wewe useme. Kuna topic za ajabu ajabu hapa mpaka unashangaa. Halafu ndiyo zinachangiwa sana, angalia hii itavyochangamkiwa. Kweli Mitanzania ndivyo ilivyo! hovyoooo!
 
Wapendwa tusaidiane kidogo mbona madada wengi wamejaliwa hizi sehemu lakini ukija kwa wanaume kweli wengi wamepata bahati mbaya ya kuwa bapa ama mbinuko kabisa
swali langu ni utengenezaji kwenye uumbwaji ama ni laana kwa wanaume ...iweje mtoto mdogo aanze kuchanua gafla wakati jitu lizima linakula pombe na kiti moto kila siku akiwa bapa...
masaada
kumradhi kwa wenye@#$%^i[/QUOTE
WEWE MTOA HOJA SIO RIZIKI. NI KUBWA JINGA
 
SAMSONMFALILA
  • profile.png
    View Profile
  • forum.png
    View Forum Posts
  • message.png
    Private Message
  • article.png
    View Articles
  • add.png
    Add as Contact
user-online.png
Member
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_pos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png
reputation_highpos.png

Join Date Wed Jun 2010
Posts 19
Thanks : 0
Thanked 8 Times in 5 Posts
Rep Power 0
 
Wapendwa tusaidiane kidogo mbona madada wengi wamejaliwa hizi sehemu lakini ukija kwa wanaume kweli wengi wamepata bahati mbaya ya kuwa bapa ama mbinuko kabisa
swali langu ni utengenezaji kwenye uumbwaji ama ni laana kwa wanaume ...iweje mtoto mdogo aanze kuchanua gafla wakati jitu lizima linakula pombe na kiti moto kila siku akiwa bapa...
Msaada
Mfalila,kichwa cha mada yako ni kizungumkuti aka OVYO. Kinyume cha laana hakiwezi kuwa bahati bali ni baraka. Kinyume cha bahati ni mkosi.
unapotengeneza sentesi yenye matumizi ya ..... au .... basi hakikisha hilo neno la pili ni kinyume cha la awali kabla ya au.
kwa nini wanawake wako hivyo na wanaume hawako hivyo , hebu jitaabashe kidogo kwenye kusoma vitabu mbalimbali katika mada ya "Vichoche na "Uzazi" [ hormones and reproduction]
Umenielewa eeenh!
 
Wapendwa tusaidiane kidogo mbona madada wengi wamejaliwa hizi sehemu lakini ukija kwa wanaume kweli wengi wamepata bahati mbaya ya kuwa bapa ama mbinuko kabisa
swali langu ni utengenezaji kwenye uumbwaji ama ni laana kwa wanaume ...iweje mtoto mdogo aanze kuchanua gafla wakati jitu lizima linakula pombe na kiti moto kila siku akiwa bapa...
masaada
kumradhi kwa wenye@#$%^i

SAMSONI kuwa MAKINI HUMU J,.F,.nimesoma post ZAKO TAYARI PICHA ya JIRANI IMENIIJIA,,..wewe ULILELEWA Kwenye Kwenye makuzi ya MWANA sheria WA ENZI za NYERERE na baadaye akapelekwa ZIMBABWE kikazi au sio.,.alikuwa mwanza ?
KUNA mshikaji wangu alikuwa anasumbua ambaye ni mwanaume ,kuwa anasumbua sana kwa kuataka awekewa baloon kwenye makalio,...mwingine yupo jirani yangu ,.yeye kila siku anajisifia makalio yake yalivyo makubwa ,.kuwa ndio yanayowachanganya kinadada na kucheka wanaume wengine,.lakini gundu limemshika juzi kasahau kufunga mlango watu wamemkuta anapumuliwa kichogoni,.fikiri vema kabla ya kusema ,,...ulisoma NYAKAHOJA au ndio mambo ya shule KATOLIKI?
 
MTOTO wa JAJI ,.Samsoni vipi wewe ni zimbabwe au MAMTONI,...du,..NA sasa ,,....MHH nashindwa kuamini
 
Nilikuwa na wasiwasi na dini yako lakini kama unaitwa samsoni hata kama ni ya bandia basi nashikwa na bumbuazi...aka sikuelewi ulifikilia kitu gani mpaka kuamua kuweka uozo huu hapa jamvini

aaaaah! Dini yake ina uhusiano gani na post yake?
 
Back
Top Bottom