wale wanaosema JF imefulia nadhani samtaimu wako sahihi. (heri mimi sijasema!)
Wapendwa tusaidiane kidogo mbona madada wengi wamejaliwa hizi sehemu lakini ukija kwa wanaume kweli wengi wamepata bahati mbaya ya kuwa bapa ama mbinuko kabisa
swali langu ni utengenezaji kwenye uumbwaji ama ni laana kwa wanaume ...iweje mtoto mdogo aanze kuchanua gafla wakati jitu lizima linakula pombe na kiti moto kila siku akiwa bapa...
masaada
kumradhi kwa wenye@#$%^i[/QUOTE
WEWE MTOA HOJA SIO RIZIKI. NI KUBWA JINGA
Mfalila,kichwa cha mada yako ni kizungumkuti aka OVYO. Kinyume cha laana hakiwezi kuwa bahati bali ni baraka. Kinyume cha bahati ni mkosi.Wapendwa tusaidiane kidogo mbona madada wengi wamejaliwa hizi sehemu lakini ukija kwa wanaume kweli wengi wamepata bahati mbaya ya kuwa bapa ama mbinuko kabisa
swali langu ni utengenezaji kwenye uumbwaji ama ni laana kwa wanaume ...iweje mtoto mdogo aanze kuchanua gafla wakati jitu lizima linakula pombe na kiti moto kila siku akiwa bapa...
Msaada
Wapendwa tusaidiane kidogo mbona madada wengi wamejaliwa hizi sehemu lakini ukija kwa wanaume kweli wengi wamepata bahati mbaya ya kuwa bapa ama mbinuko kabisa
swali langu ni utengenezaji kwenye uumbwaji ama ni laana kwa wanaume ...iweje mtoto mdogo aanze kuchanua gafla wakati jitu lizima linakula pombe na kiti moto kila siku akiwa bapa...
masaada
kumradhi kwa wenye@#$%^i
Nilikuwa na wasiwasi na dini yako lakini kama unaitwa samsoni hata kama ni ya bandia basi nashikwa na bumbuazi...aka sikuelewi ulifikilia kitu gani mpaka kuamua kuweka uozo huu hapa jamvini