Anyisile Obheli
JF-Expert Member
- Dec 13, 2009
- 3,400
- 320
Wapendwa tusaidiane kidogo mbona madada wengi wamejaliwa hizi sehemu lakini ukija kwa wanaume kweli wengi wamepata bahati mbaya ya kuwa bapa ama mbinuko kabisa
swali langu ni utengenezaji kwenye uumbwaji ama ni laana kwa wanaume ...iweje mtoto mdogo aanze kuchanua gafla wakati jitu lizima linakula pombe na kiti moto kila siku akiwa bapa...
masaada
kumradhi kwa wenye@#$%^i