Binafsi nikiwa nyumbani kwangu(hasa wakati wa weekend) huwa kuna wakati napika(mimi ni mpishi mzuri sana) na mama watoto hufurahi sana anapokula chakula nilichokiandaa mimi,hata mtoto wangu hufurahi sana anapokula chakula nilichokiandaa na hupenda kila wakati niwe naandaa(napika chakula)..so sioni tatizo lolote la mwanaume kupika chakula...Kwa wanandoa(au wapenzi) wenye mapenzi ya kweli kusaidiana kupika si kitu cha ajabu na wala si limbwata...ni zaidi ya mapenzi....Kama kweli unampenda utamlinda(na kumpikia mara moja moja)...hahaaaaaa
mweh Baba_Enock una ukoloni wewe .. sidhani kama mamsap anasaidiwa hata kutandika kitanda 🙂
Kakangu kule juu......
tehe tehe lakini ASENI WENGA amefulia mkuu
samahani kama nimekukwaza.
and I will always love you B....!!!!
Mhh B,
Mi naanza kuogopa. Nikisoma btn lines sipati kitu, kwani wanaume wengi wako tayari kupika ila mara moja moja tu!! Mimi naweza kupika wakati wowote endapo sijabanwa mbavu na kazi za kubeba mabox.
Hata hivyo kama tunaishi uswahilini siwezi hata siku moja kuingia jikoni. Ikibidi nitapikia hata uvunguni, tena mlango umefungwa. Wambeya wanaweza kunigombanisha na wife kwamba amenipa limbwata. Sitaki hicho kitu wakati bila my wife mimi sina life.
hakuna kitu kizuri kama mwanaume anayepika
Uwnaume ni kuhakikisha kuna ugali mezani................Mkuu, haimaanishi ununue unga na kupika upike wewe.kwangu mimi mpaka sasa ndio mpishi mkuu wa nyumba yangu,mama yeye ni siku mojamoja,
Kidume lazima uchome nyama home, misamaki ichomwe,,,,,,,,watu walio kwenye nyumba yako wajue kuwa, hivyo vitu sio vinapatikana bar tu!
Huo ni mfano wa mgawanyo wa kazi ulivyokua huko mwanzoni. Kwa hapa mjini naweza kupiga pasi nguo au kumbembeleza mtoto ili wife awe na muda mzuri jikoni. Kuna shughuli za jikoni mwanaume unaweza kufanya wife akiwepo - kutengeneza juice, kuchoma nyama au kuchinja kuku/mbuzi n.kMchili bana!!
Sasa hapa mjini wewe unapasua kuni saa ngapi?, unakaa kwenye shimo mpaka nyoka aingie ndani?
nini kitakuwa substitute ya zile natural devision of labour ambazo kwa kijijini, zinakuja kutokana na mazingira?
kuna vitu vingine, we do for the family............not for gender.
wakuu suala la kupika kwa wanaume ni zaidi ya mapenzi au kuwa mume *****; wanaume naturally ni wapishi wazuri sana na ndio maana hoteli nyingi chefs wengi ni wanaume.
kupika ni art kama vile sanaa nyingine na kusema kweli kipaji kile hakiigiki,
wanaume wengi waliolelewa vizuri hujua kupika na huweza kupika, pia wanaume waliowahi kuishi mabachelor au colleges mara nyingi wamekua wanapika
Now back to family issues
Mwanaume anayepika mara nyingi huwa na kipaji au uwezo wa kuwa karibu pia hata na watoto na mamaa. zaidi ya hayo, mwanaume anayepika is naturally romantic, more helpful, loved by kids na pia inaonyesha ana muda wa kufanya mazuri kwa mke na watoto
Moreover, kupika tu ni fun kinoma
TO ANSWER THE QUESTION, MWANAUME KUPIKA SIO USHAMBA
Unaogopa Balantanda kunisaidia kupika? (sijui kama ni kunisaidia au....)
kwetu hilo ni jambo la kawaida sana na nimojawapo ya spice kwenye mapenzi yetu yanayozidi kushamiri......
Kwenye swala la ksaidiana nalikataa kabisa!!Unaogopa Balantanda kunisaidia kupika? (sijui kama ni kunisaidia au....)
kwetu hilo ni jambo la kawaida sana na nimojawapo ya spice kwenye mapenzi yetu yanayozidi kushamiri......
Na mimi hapo ndo sikubali kabisaaaaa!Hapana da B,
Naogopa mnapoanza kwa kusema anatoa msaada, halafu na yeye anasema kuwa hupika mara moja moja tu. Halafu hatujui ni kila baada ya muda gani. Labda ni mara moja kila baada ya ya miaka kama 5? Lakini pia sijui kama utajisikia poa tu mzee akakae kwenye kigoda uani, katikati ya wanawake kama 10 hivi (huko Tandika) akitengeneza ugali au wali wa nazi. Kule kwetu Tanga anaweza pia kukaanga uwono?? Bado nipo nipo tu!
Huo ni mfano wa mgawanyo wa kazi ulivyokua huko mwanzoni. Kwa hapa mjini naweza kupiga pasi nguo au kumbembeleza mtoto ili wife awe na muda mzuri jikoni. Kuna shughuli za jikoni mwanaume unaweza kufanya wife akiwepo - kutengeneza juice, kuchoma nyama au kuchinja kuku/mbuzi n.k[/QUOTE]
Umenikuna hata thanks nimekupa bila kinyongo. Hakuna haja ya kulazimisha wakati kuna vitu vingine ambavyo unaweza kutoa mchango tena wa maana sana badala ya kwenda kufuta futa machozi ya moshi wa kuni huko jikoni! Ila najua wengi wanaongelea majiko ya kiulaya ulaya labda ndo maana hawaoni tatizo la kuingia jikoni!
Kwenye swala la ksaidiana nalikataa kabisa!!
Sipiki kwa kumsaidia wifey wangu! napika kwasababu
1) Napenda kupika vitu flani flani.ambavyo ni tofauti (mfano choma nyama)
2) Nataka familia yangu ile vitu ninavyopika siku moja moja
3) Kuna vitu sio wife wala msichana wa kazi anaweza kupika........inakuwa ni usumbufu kuwaelekeza.
4) wote walio nyumbani kwangu wanafurahi sana nikisema leo msipike nitapika (wana-expect mambo ya maana ile mbaya) inaleta furaha.
Sipiki kusaidia.............kusaidiana kupika maana yake nini? mimi napika ijumaa, yeye anapika alhamisi au?
Mkuu, mambo ya kununua mbuzi choma bar kila siku haifai. kwanza ni expensive sana.Huo ni mfano wa mgawanyo wa kazi ulivyokua huko mwanzoni. Kwa hapa mjini naweza kupiga pasi nguo au kumbembeleza mtoto ili wife awe na muda mzuri jikoni. Kuna shughuli za jikoni mwanaume unaweza kufanya wife akiwepo - kutengeneza juice, kuchoma nyama au kuchinja kuku/mbuzi n.k[/QUOTE]
Umenikuna hata thanks nimekupa bila kinyongo. Hakuna haja ya kulazimisha wakati kuna vitu vingine ambavyo unaweza kutoa mchango tena wa maana sana badala ya kwenda kufuta futa machozi ya moshi wa kuni huko jikoni! Ila najua wengi wanaongelea majiko ya kiulaya ulaya labda ndo maana hawaoni tatizo la kuingia jikoni!
Mi nakamata mbuzi kila bada ya miezi miwili, nachinja, nachemsha kwa kutumia kuni na mkaa, watu wanapiga supu na kisusio, nyigine inakuwa inaiva kwenye jiko (mahususi kwa kazi hiyo) mvinyo unaendelea..........nyama choma inaiva........tunapeleka pwani....mvinyo unaendelea...mama watoto yeye kazi yake kula tu!
Kwenye swala la ksaidiana nalikataa kabisa!!
Sipiki kwa kumsaidia wifey wangu! napika kwasababu
1) Napenda kupika vitu flani flani.ambavyo ni tofauti (mfano choma nyama)
2) Nataka familia yangu ile vitu ninavyopika siku moja moja
3) Kuna vitu sio wife wala msichana wa kazi anaweza kupika........inakuwa ni usumbufu kuwaelekeza.
4) wote walio nyumbani kwangu wanafurahi sana nikisema leo msipike nitapika (wana-expect mambo ya maana ile mbaya) inaleta furaha.
Sipiki kusaidia.............kusaidiana kupika maana yake nini? mimi napika ijumaa, yeye anapika alhamisi au?
Dah! Ndio tumefikia huku?"Astaghfirullah-al'azim allazi la ilaha illa huw-al-hayy-al- qayyuma wa atubu ilayh"
Sawa nimekusoma.............mnasaidianaHausaidii,bali mnasaidiana(that's what i said)..Ni sawa na kusaidiana katika matumizi ya home,kusaidiana kufua nguo...Nk...Ndo maana nikasema mimi(maana ishajengeka,hasa Tanzania na Afrika kwamba wababa wao hupikiwa tu ama na mke ama na house maid) so narudia tena mimi mara nyingi weekend huandaa chakula twala mimi,mke wangu na mtoto wetu pia na msaidizi wetu wa kazi za nyumbani...So si vibaya kusaidiana kupika bana(narudia tena kusaidiana kwa maana ya kwamba kila mtu ana wajibu ya kupika,simaanishi kufuata ratiba hapa)