Wanaume kupika na kupakua ni ushamba jamani??

ana heri mkeo kakaangu ubarikiwe sana
 

that's why nilijiunga na hii forum!!i second this,FOR THE FAMILY!'embu' nilielekeze kilipo ki-batani cha senksi 'nikucharazie' mkubwa!!!
 
Jamani naomba tusipotoshe mila zetu za kiafrika,particularly Tanzania.Kila mtu amepewa majukumu yake ya msingi,mwanamme anakazi zake za msingi,mwanamke vilevile.Kupika chakula na kupakua ni jukumu la msingi la mwanamke.Huko kwetu bara hata pwani mwanamme amepewa jukumu la kwenda kuvua samaki(kutafuta kitoweo) na au kupeleka ng`ombe malishoni(kuchunga).Haipendezi kumpa jukumu hilo mwanamke;atanuka vumba/shombo nakadhalika.kazi ya jikoni inamfaa mamaa.Iwapo mmojawao anakuwa na matatizo kama vile kuumwa nk.hapana budi kusaidiana.vinginevyo itasadikika kuwa hilo dume limeshabugia LIMBWATA la sivyo tunaweza sema ni mrafi.Ni maoni tu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…