Chacha90
JF-Expert Member
- Oct 13, 2017
- 433
- 727
Umuofia kwenu wanajamvi,
Nimekuwa nashangazwa na tabia za wanaume wenzangu ambao huwa hawachani nywele zao na hivo kuwafanya kuwa very rough and dirt guys. Hii inatokana na ubusy wa mtu au uchafu ni asilia yake? Picha haina uhusiano na maelezo.
Karibu tujadili pamoja.
Nimekuwa nashangazwa na tabia za wanaume wenzangu ambao huwa hawachani nywele zao na hivo kuwafanya kuwa very rough and dirt guys. Hii inatokana na ubusy wa mtu au uchafu ni asilia yake? Picha haina uhusiano na maelezo.
Karibu tujadili pamoja.