Sasa wewe Mme wako siumwambie ukweli uko uko..kuwa awe anachana nywele.Umuofia kwenu wanajamvi,
Nimekuwa nashangazwa na tabia za wanaume ambao huwa hawachani nywele zao na hivo kuwafanya kuwa very rough and dirt guys. Hii inatokana na ubusy wa mtu au uchafu ni asilia yake? Picha haina uhusiano na maelezo.
Karibu tujadili pamoja.
uchafu tu ..mkuu unaachaje kutochana nywele kwamfano ..wakati sehemu ya kichwa iko wazi mnoo yajidhihirisha kwa yeyote ..afadhali usinyoe mavuzi hkuna atakayejua zaidi ya mwenza wako lkini sio kuacha kuziweka nywele zako kwenye muonekano safi..""
ijpokuwa hata kuacha kunyoa mavuzi nao pia niuchafu unaopaswa kukemewa
daahh furahi mkuu ..maisha yenyewe mafupi ..na bado tumepewa agizo la kuyapaka grisumenifanya nicheke ka mwehu hapa.