Kubali kwamba kutokana na andiko la Mtoa Mada wewe hayakuhusu, pita kimya hivyo ndo vigezo vya Mtoa Mada! Mheshimu!

#kataa single Mama
 
Kubali kwamba kutokana na andiko la Mtoa Mada wewe hayakuhusu, pita kimya hivyo ndo vigezo vya Mtoa Mada! Mheshimu!

#kataa single Mama
Jf ni mtandao wa kijamii. Mtu akiandika upuuzi anachanwa live hapa hapa, ndio maana kuna section ya comments.

Hawa wanawake wa kisasa wakiachiwa jukumu la kutoa sifa za real men nina uhakika uko mbeleni tutapata kizazi cha wanaume wapumbavu sana.
 
Tunashukuru sana ijapokuwa ni wajibu wetu huo kupambana kuhakikisha wake zetu na familia zetu wanaishi Kwa furaha
 
Jf ni mtandao wa kijamii. Mtu akiandika upuuzi anachanwa live hapa hapa, ndio maana kuna section ya comments.

Hawa wanawake wa kisasa wakiachiwa jukumu la kutoa sifa za real men nina uhakika uko mbeleni tutapata kizazi cha wanaume wapumbavu sana.
Kaka mkubwa hawa wasio single maza, unataka kusema wao ni bikra hawajapitiwa au ni kitu gani???? Wengine hawana vizazi kwa matumizi ya excessive P2.

Japo single maza wengi akili hawana ndio maana wakaachika even with strong men.

Basi na wengine wametoa mimba kwa kuabort watoto walio hai tumboni.
 
Halafu anaewaongezea kipande cha nyama wanawake buchani ndo anapewa bila kuambiwa "nimeshoka acha nilale"! Kuna wanawake shetani anawaona.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…