Daaah hatari sana πππKwa dunia ya sasa labda wa 14-16 ndo tuwasamee, wengi wanakuaga o-level bado wapo chini ya uangalizi wa baba na mama kwaiyo ikitokea kapata mimba basi kadanganywa na bodaboda, mwalimu au mwanafunzi mwenzake ila wa 17-19 hao wanasoma bweni a-level, wapo chuo(kwenye certificate au diploma) au shule imewashinda wapo tu home, hao hawafai mzee mwenzangu nenda kitambaa cheupe wamejaa kibao wanauza mpaka mtandao pendwa
Siwez msamehe kaka. Juzi Kuna post nimieona ety mwanamke anasema "wanazaa na wanaume warefu wanajua wanaume wafupi watakuja kulea kumbe ni wanafanya kusudi"Kwa dunia ya sasa labda wa 14-16 ndo tuwasamee, wengi wanakuaga o-level bado wapo chini ya uangalizi wa baba na mama kwaiyo ikitokea kapata mimba basi kadanganywa na bodaboda, mwalimu au mwanafunzi mwenzake ila wa 17-19 hao wanasoma bweni a-level, wapo chuo(kwenye certificate au diploma) au shule imewashinda wapo tu home, hao hawafai mzee mwenzangu nenda kitambaa cheupe wamejaa kibao wanauza mpaka mtandao pendwa
Tupe uzoefu teacher.
Daaah sio poa.Inshort wanagongwa sana nenda tu bariadi uone
Tunashukuru kwa maua na tumeyapokea,hata wanaume tunaolea watoto wa kusingiziwa kwenye ndoa tunapokea maua yetu!Jamii zetu za kiafrika zimeweka mzigo mkubwa sana kwa mwanaume.
Naomba kutambua mchango wenu na kuwapa maua yenu kama ishara ya shukrani.
Shukrani za dhati ziwaendee;
πΉ Wanaume wanaoweka juhudi katika kazi zao halali, wakifanya kwa uaminifu na kujituma ili kujenga maisha bora kwao na familia zao β pokeeni maua yenu.
πΉ Wanaume wanaopambana kuhudumia familia zao bila kuchoka na kulea watoto wao kwa mapenzi na maadili mema β pokeeni maua yenu, tunawashukuru.
πΉ Wanaume wanaoshikamana na marafiki zao kwa uaminifu, kusaidiana katika shida na raha, na kuwa nguzo ya kweli kwa wenzao β pokeeni maua yenu.
πΉ Wanaume waliotoka kwenye maisha magumu na wanapambana kila siku kuhakikisha vizazi vyao vinaishi maisha bora kuliko wao β pokeeni maua yenu, tunawashukuru sana.
πΉ Wanaume wanaopambana na changamoto za afya ya akili kimya kimya, wakitafuta suluhisho bila kukata tamaa β pokeeni maua yenu, tunawatambua na kuwathamini.
πΉ Wanaume waliowahi kupitia maumivu makali (kuachwa, kupoteza wapendwa, kufeli, kuumizwa) lakini bado walisimama tena na kusonga mbele β pokeeni maua yenu!
πΉ Wanaume wanaopambana na hali ngumu za maisha bila kulalamika na bado wanajitahidi kutokata tamaa na kutia wengine moyo β tunawashukuru, pokeeni maua yenu.
πΉ Wanaume wanaosimamia shughuli za kijamii; likitokea tatizo wao ndiyo mstari wa mbele kupambana (mwizi mtaani wamo, misiba, sherehe, n.k.) β pokeeni maua yenu na asanteni sana.
πΉ Wanaume wanaolea watoto wa wenza wao bila kuwabagua na kuhakikisha wanasimamia nafasi zao kama wazazi wenza β pokeeni maua yenu.
πΉ Wanaume wanaohakikisha wazazi wao na wale wa wenza wao wanatunzwa na kuheshimiwa β tunawashukuru, pokeeni maua yenu.
πΉ Wanaume wanaowapenda, kuwaheshimu, kuwalinda na kuwasaidia wenza wao β pokeeni maua yenu na asanteni sana.
πΉ Wanaume wanaopigania maslahi ya wananchi na wanajamii wenzao, kuhakikisha usawa na haki zinazingatiwa kwa kila mmoja β tunawashukuru sana, pokeeni maua yenu.
Leo ni siku yenu, hasa wale wanaume wanaojituma na hawapati "ASANTE" wanazostahili. Shukrani kwa yote mnayofanya na kutufanyia πβ¨.
Ongeza na wewe sababu za ziada za kuwapa maua yao wanaume wa shoka kwenye jamii na maisha yetu.
PS:
Wale mnaopwaya pwaya hii nyuzi haiwahusu, ila mnaweza kujifunza kutoka kwa wenzenu.
Umekubali unyongeTunashukuru kwa maua na tumeyapokea,hata wanaume tunaolea watoto wa kusingiziwa kwenye ndoa tunapokea maua yetu!
Kwamba kwa jamii zingine haiko hivyo?Jamii zetu za kiafrika zimeweka mzigo mkubwa sana kwa mwanaume.
Ndiyo haziko hivyo, mfano nchi za Scandinavia ambazo mfumo dume siyo norm na wanaume hawawi expected automatically kubeba majukumu ya wapenzi au wake zao.Kwamba kwa jamii zingine haiko hivyo?
Na hao ndio waliotuletea hizi ideologies za 50/50 nasi tulivyokua malimbukeni tukazipokea kama zilivyo bila kuangalia kama social constracts zetu zinaenda sambamba na izo ideologies.Ndiyo haziko hivyo, mfano nchi za Scandinavia ambazo mfumo dume siyo norm na wanaume hawawi expected automatically kubeba majukumu ya wapenzi au wake zao.
Umezungumza kweli kabisa πNa hao ndio waliotuletea hizi ideologies za 50/50 nasi tulivyokua malimbukeni tukazipokea kama zilivyo bila kuangalia kama social constracts zetu zinaenda sambamba na izo ideologies.
Mwanamke wa kizungu anajua anawajibika kufanya kazi ajihudumie mahitaji yake hata anapoingia kwenye mahusiano anajua kuna kupanga bajeti na kuchangia kulipa bill wote kwa pamoja. Hapa kwetu mwanamke anataka usawa kwenye kila kitu lakini ukigusa hicho kipengere cha kulia bill anaamisha goli.
Matokeo yake tumezalisha kizazi cha wanawake wasumbufu ambao hawajui wasimame upande gani. Wanataka nafasi ya mwanaume lakini hawayataki wajibu unaomfanya mwanaume apewe iyo nafasi, wanataka privilege ya mwanamke lakini hawautaki wajibu unaomfanya mwanamke apewe iyo privilege
Sio unyonge ni ujasiriUmekubali unyonge