nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,379
Jamani nilikuwa nasikiliza BBC sasa hivi nimecheka sana. Nchini Burundi akina mama na kina baba walikuwa wanahojiwa kuhusu mwanamke kutibiwa na daktari wa kiume hasa wakati wa ujauzito.
Akina mama wanasema wanasikia aibu sana lakini hawana jinsi kwani kuna madoctor bingwa wa wakinamama wawili tu wa kike Burundi. Wanasema madokta wanawachezea, na wao wanajisikia vibaya ila hawana jinsi. Mama mmoja anasema mume wake alimuuliza aliyekupima ni dokta wa kike au wa kiume akamjibu wa kiume; mwanaume wacha asikie wivu.
Wanaume nao wakahojiwa wanasema hawapendi kabisa wake zao wahudumiwe na madoctor wa kiume lakini wafanyeje. Kuna mmoja kaniacha hoi anasema aliongozana na mkewe clinic, kufika kwa doctor doctor kamwambia atoke nje ampime wife. Akamwambia doctor kwa nini nitoke na huyu ni mke wangu na namjua vizuri hakuna cha kunificha? Dokta kakomaa mpaka jamaa katoka. Sasa mwandishi akawa anamhoji jamaa, uoni kuwa daktari hataweza kufanya kazi yake vizuri ukiwepo; jamaa inajibu, kwani mimi nashikilia sindano si natazama tu na kucheki usalama.
Aaah. That is why mi niliamuaga kwenda regency.
Akina mama wanasema wanasikia aibu sana lakini hawana jinsi kwani kuna madoctor bingwa wa wakinamama wawili tu wa kike Burundi. Wanasema madokta wanawachezea, na wao wanajisikia vibaya ila hawana jinsi. Mama mmoja anasema mume wake alimuuliza aliyekupima ni dokta wa kike au wa kiume akamjibu wa kiume; mwanaume wacha asikie wivu.
Wanaume nao wakahojiwa wanasema hawapendi kabisa wake zao wahudumiwe na madoctor wa kiume lakini wafanyeje. Kuna mmoja kaniacha hoi anasema aliongozana na mkewe clinic, kufika kwa doctor doctor kamwambia atoke nje ampime wife. Akamwambia doctor kwa nini nitoke na huyu ni mke wangu na namjua vizuri hakuna cha kunificha? Dokta kakomaa mpaka jamaa katoka. Sasa mwandishi akawa anamhoji jamaa, uoni kuwa daktari hataweza kufanya kazi yake vizuri ukiwepo; jamaa inajibu, kwani mimi nashikilia sindano si natazama tu na kucheki usalama.
Aaah. That is why mi niliamuaga kwenda regency.