Ahahahahah Ashadii wewee.........eti umeomba ujukuu, mie mwenzio nmenyeng'wanywa (hapa tuongee kwa sauti ya chini mwaya wachumba wasijesikia) Babu anataifisha lol......anakaba huyoo anataka wajukuu zake waolewe na kizinda na tena akikague yeye kuwa kipo!!
....ha ha ha, eti han'pimi?...kuna wengine raha yao waende kwa Gynecologist 'wakapimwe tu' japo hawaumwi...
waume wasinune kwanini?
...........Hahahahah lol aku usitusingizie bwana tukanyimwa ruhsa ya kuattend Antenatal bure.......... lol mie nilikremu hadithi zote....sile za ikifika wiki ya ngapi cjui waanzapimwa.....sijui ikifika siku gani waanzatembea na begi ah....sikuona hata kimoja, mwanangu kaja bila hodi, nimekwenda kwa Shaffiq mzima wa afya, ndani ya jeans na T-shirt! mrembo mimi lol na sura yangu ya kutisha, sina begi wala kibeti.....halafu ghafla naambiwa Mama tangulia theatre....ah sikumwelewa kwa kweli!! Maana hajawah'npima' ........... nlimwambia usintanie!! niligoma .....mpaka leo nkikutana naye anacheka!!
si afadhali basi mtu ushajihakikishia kitumbo kimenasa!...wengine mkavuuu...kila mwezi kiguu na njia kwa Dokta....kama hobby vile! ...Tena hiyo siku ya appointment unamuona yupo busy ku 'mow the lawn' kisha anajikwatua mpaka unasema mnh,...kunani huko?
Ila kweli Mbu wamama wengi huwa wana develop mapenzi ya ajabu na doctor wakati wa ujauzito. Mimi nina similar experience but thanks God daktari wangu huwa ni mwanamke always. Yaani sometimes you just feel like seeing the doctor without any reason. Na nimepitia vitabu vya mambo ya uzazi wanasema ni kawaida kwa kuwa dokta anakuwa karibu nawe wakati mwingine kuliko mumeo. Mnaelewana zaidi lugha. So when you feel loney unaenda mara unasingizia mtoto achezi mradi muonane.
Eh eh eh ...nyumba kubwa mbona unatuchoma mydia?? .........hebu hii mapenzi development huwa inatokea kipindi gani?.........akishaku'pima' au hata kabla?? lloh!!,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,hakuna anayewezani'azima' mimba ili niifanyie research hii point ya nyumba kubwa jamani? Mi ni mtiifu nikimaliza tu research nakurudishia mimba yako............
hasante!madokta wako so caring kwa experience yangu. Yaani ukiingia ofisini kwake utasema you are the only patient. Wanadevelop kind of intimacy relationship which is good if they don't abuse. In fact mpaka kuja kujifungua mnakuta mshakuwa friends; nine months! Mimi nilikuwa nikiingia kwa doctor lazima tutie story kidogo mpaka watoto wake niliwajua kwa majina.
I beg to dis agree with you, kina mama wengi tu wanafia aghakhan na hospitali za mjini kuliko hata huko kusiko kuwa na hospitali?Ushasikia hg kapewa mimba bahati mbaya kafa? Ni very rare, wake zetu mayai hawa ndio wanaoshindwa kupush pamoja na access ya huduma bora!MJ1 katika vipengele ambavyo vinachangia failure katika "Realization of Millenium Goal" inayolenga ku reduce maternal death (Hii iko chini ya uangalizi wa karibu na International community - World Health organisation ikijulikana kama Millenium Goal 5).. Hio ya daktari wa kiume kutoa huduma ndo kusababaisha ina nafasi ndogo saana katika nchi zetu za kimaskini. Na kwa wale ambao tumebahatika kuzaa unakuta ni bora uhudumiwe na mwanaume for they are so sensitive and considerate..... naona ile hali ya kuona wanawake wanatoa watoto zao kwa hio njia ya kuzaa hata scissor huchangia saana wawe na compassion.Sababu kubwa zinazochangia a lot of maternity deaths and birth rates ni tu ule umasikini ulokithiri... umasikini ulopelekea mhusika kutokua na access ya hiyo huduma ya muhimu ya kuzaa, aidha anaishi interior yuko mbali na zahanati, aidha chakula cha shida mno anakua malnourished, aidha hajajiunga na huduma ya Clinin sababu iko mbali na mambo kibao - Hayo mambo yakichangiwa saana na serkali in things such as miundo mbinu, zahanati na hospitali mbali mbali kukosa huduma kama umeme, vifaa, maji na dawa, Na Mengine meeengi...MJ1 hivi nilivyo jibu did i get you?? or niko nje ya swali lako??
Lakin kisheria kabisa mke wako kama anakwenda kwa doctor na kunacomplication ambazo zinahitaji apigwe nusu kaputi inaruhusiwa kuomba nesi awe naye kama watakuzuia wewe,kwenye nchi zilnazoendelea kama china mwanaume unaweza kuomba kushuhudia mke wako akijifungua lakini lazima utoe two weeks notice wakupime afya halafu uhudhurie.
HahahahahaaaaaaaaaaaaaMadoc wengine wana mamikono makubwa balaa lol
Huwa wanayaingiza kunako wkt wa tiba teh!Madoc wengine wana mamikono makubwa balaa lol
Mkuu unafikiria mbali sana, itabidi usomee udoc maana wale wake zako wanne uwe unawa examine mwenyewe tudokta ukienda na mkeo
anakwambia tupishe,,nenda nje,,
halafu kabla hujatoka anamwambia mkeo vua nguo ulale kitandani..
halafu unamlipa pesa..
unaweza huyo kukuta huyo mwanamke mpaka anakuvulia nguo
ulitumia pesa nyingi,,,,
yeye anavuliwa bure na kulipwa juu...
inaumaaa....