Wanaume, mke kama huyu unamfanyaje?


kataa ndoa
 
Muache tafuta mwanamke mwingine uoe.

Achana na kutoa mimba, kitendo tu cha kukuficha kuwa alishawahi kuzaa ni sababu tosha ya kumuacha.

Uliona wapi mechi inaanza kwa 2 - 0 ?
 
Ndio shida ya kuwa Marioo kutegemea vya mwanamke.apambane
 
Una moyo sana mzee mimi usiku huo huo kingeeleweka posa umetoa ya nini sasa? Au wewe ndo kakueka ndani kuna mda inabdi uonyeshe uanaume tu , yn mpka sasa hv wangerudisha hadi hela yangu labda iwe story ya kutunga maana huo ni ushetani anaweza kukuua uyo secure your security
 
Kama umeandika kuomba ushauri. Nikushauri
1. Wewe ndo uanze kubeba mimba
2. Hizo mimba si zako

Hakuna mwanaume anaweza uliza swali hili la kipumbavu. Wewe ndo mwanamke
 
Ulishaamua kuoa, maandiko yanasisitiza tukizaliwa upya tusichunguze ya kale.

Sasa sijaelewa ndugu yangu unatakaje na ulishaamua kubeba msalaba wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…