wanaume mkoje,

Vaislay

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2011
Posts
4,532
Reaction score
1,829
wewe rafiki wa mume wangu,lakini cha ajabu unampenda mke wa rafiki yako wakati wewe unamke.ukituona tumeongozana unakasirika,huoni aibu?jamani,dunia inaenda wapi?
 
Love doesnt ask why!!.... Moyo wa nyama.....wivu lazima, no matter what!!!
 
tuko poa bebito, sijui wewe ulio mbali na upeo wa macho yangu!
 
Vaislay; wewe rafiki wa mume wangu,lakini cha ajabu unampenda mke wa rafiki yako wakati wewe unamke.ukituona tumeongozana unakasirika,huoni aibu?jamani,dunia inaenda wapi?


Huyo shemeji yako ndo amekwambia anakasilika akikuona na mumeo? Alishakwambia anakupenda labda?
Heading ya Thread yako nadhani ungeiweka ''Baadhi ya wanaume wakoje?'' Maana unaposema wanaume mkoje, una uhakika wote tunakasilika pindi tuonapo rafiki zetu wanaongozana na wake zao kitu ambacho si kweli.
 
Kama vp mwambie au mtamkie wazi humtaki
akiendelea hivyo mwishowe utalegea na utawakosa wote
 
wewe rafiki wa mume wangu,lakini cha ajabu unampenda mke wa rafiki yako wakati wewe unamke.ukituona tumeongozana unakasirika,huoni aibu?jamani,dunia inaenda wapi?

kwahiyo wewe vaislay umeolewa... na rafiki wa mumeo anampenda mke wa rafiki yake na yeye ana mke... na ikitokea wewe na mmeo mmeongozana anakasirika.... !!!???? Im confyuuuzzzzdddd.. sijaelewa!!!
 
Hawaanzagi tu ameruhusiwa kufanya anayoyafanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…