Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,342
- 88,625
Huyu baba hapa amelala anatoa ndoto zote ila akilini kwake anajua tunaondoka wote. Tatizo ana ushamba mie sinao maana amezoea wanawake wanaokaa nao wanakuja kuwadanga. Sasa mtu mwenyewe hata hela ya kulipa bill hana halafu anashoboka na mimi.
Wanaume tafuteni hela mtumie msitie aibu wakati wa kulipa Bill.
Wanaume tafuteni hela mtumie msitie aibu wakati wa kulipa Bill.