Kumbe baba yako Sam Mahela?Mmezidi sana nimewavumulia nimechoka mmezid sana kuomba mxeeew
Yani mwanamme akijua una kazi tu inayoingiza mshahara mwisho wa mwezi atakusifia hata kama sura lako baya Ili mradi akuingize laini akutapeli.
Mambo ya kuombana hela mm sitak bhn agggr.
Nimesema sitak kuombwa pesaaa .
Nilipokuwa sna kazi hata sm ulikuwa hupigi saivi umejua Nina kazi simu kila saa unanisifia Nina umbo namba nane wakat najijua mm ni mbaya alafu hapohapo unaniomba hela mxeeew
Demiss mahela .
Umeishasema ww ni mbaya so utapigwa sana virungu ila ungekuwa mrembo ungehongwa sanaMmezidi sana nimewavumulia nimechoka mmezid sana kuomba mxeeew
Yani mwanamme akijua una kazi tu inayoingiza mshahara mwisho wa mwezi atakusifia hata kama sura lako baya Ili mradi akuingize laini akutapeli.
Mambo ya kuombana hela mm sitak bhn agggr.
Nimesema sitak kuombwa pesaaa .
Nilipokuwa sna kazi hata sm ulikuwa hupigi saivi umejua Nina kazi simu kila saa unanisifia Nina umbo namba nane wakat najijua mm ni mbaya alafu hapohapo unaniomba hela mxeeew
Demiss mahela .
Aibu nimeona mimi (kwa sauti yako)unaombwa hela au unaombwa vichenji chenji kisha unakuja kutupigia kelele humu
Ttzo lako unadate matapeli wa town, Magu kabana kila kona wamekugeuza chanzo cha mapato. Njoo kwangu utulize roho[emoji4][emoji4]
Mmezidi sana nimewavumulia nimechoka mmezid sana kuomba mxeeew
Yani mwanamme akijua una kazi tu inayoingiza mshahara mwisho wa mwezi atakusifia hata kama sura lako baya Ili mradi akuingize laini akutapeli.
Mambo ya kuombana hela mm sitak bhn agggr.
Nimesema sitak kuombwa pesaaa .
Nilipokuwa sna kazi hata sm ulikuwa hupigi saivi umejua Nina kazi simu kila saa unanisifia Nina umbo namba nane wakat najijua mm ni mbaya alafu hapohapo unaniomba hela mxeeew
Demiss mahela .[/Q
labda wanaume wa dar, ila hata mm mwenyewe sipendi mwanamke anayeomba hela sana, hasa wale wa sina nauli, huwa siwapendi kabisa, ukitaka nimwache demu hata awe mzuri kiasi gani aniambie tuu sina nauli alafu nauli yenyewe unakuta ni buku, au jero, huwa namwona hana plan , hivyo ni mzigo