Mapenzi yapo sema tuu yanavutwa zaidi na wallet [emoji6]haahah eti hakuna mapenzi kha
usidanganye mchana kweupe hahaha..nani hapendi pesamhhh wengine hatuko interested na pesa zenu mkuu
Mapenzi yapo sema tuu yanavutwa zaidi na wallet [emoji6]
Kweli kabisa mkuu...Mapenzi ya kweli siku hizi ni nadra sana kupatikana na ukimpata mwenye mapenzi ya kweli asiyeendekeza pesa mng'ang'anie mzee...Hakuna mapenzi siku hizi tusiongopeane utakubaliwa kwa PESA ZAKO TU!
Sasa mbona wangu hana na nampenda kweeeli!!!!Huo ndio ukweli na unaujua sana!
Ahahahaaa wanatabu sana, kuna best yangu mmoja aliniambia yeye akiona mpenzi wake anaanza kufungua wallet ampe pesa basi huwa anapatwa na furaha ya ajabu mno hawezi kuielezea huwa anajikuta anatabasamu la hali ya juu mno hata apewe taarifa ya kusikitisha sura yake haiwezi badilika akili yake yote inazama kwenye wallet yaan anajiskia kusisimka na upendo unaongezeka mara dufu kwa mwenzi wake. Ila asipopewa hela hicho kisirani ni zaidi ya mimba changa.hahaha na kweli wajina ! nashangaa waume hawatup pesa lol
mkuu sina haja ya kuongopausidanganye mchana kweupe hahaha..nani hapendi pesa
uvunguni mwa moyo wangu,Mh! Haya yametoka moyoni bidada?
Hamna asiyependa pesa si ndiyo??mkuu sina haja ya kuongopa
shangaa na weweSasa mbona wangu hana na nampenda kweeeli!!!!