hakuna asiepemda pesa ila sasa kusema kua utapendewa hela hilo napinga wengine tuko na wapenzi hata hawajawah kusikia tukiomba hela zao na hatuna habari ya kuombaHamna asiyependa pesa si ndiyo??
Ahahahaaa wanatabu sana, kuna best yangu mmoja aliniambia yeye akiona mpenzi wake anaanza kufungua wallet ampe pesa basi huwa anapatwa na furaha ya ajabu mno hawezi kuielezea huwa anajikuta anatabasamu la hali ya juu mno hata apewe taarifa ya kusikitisha sura yake haiwezi badilika akili yake yote inazama kwenye wallet yaan anajiskia kusisimka na upendo unaongezeka mara dufu kwa mwenzi wake. Ila asipopewa hela hicho kisirani ni zaidi ya mimba changa.
Basi wewe ni mojawapo ya viumbe adimu waliobakia...(KAMA NI KWELI LAKINI)hakuna asiepemda pesa ila sasa kusema kua utapendewa hela hilo napinga wengine tuko na wapenzi hata hawajawah kusikia tukiomba hela zao na hatuna habari ya kuomba
ninaomba nikuthibitishie mimi sijawah kumuomba mwenzangu hela, na sitakuja kuthubutu kufanya hivo na kama nabisha atakuja athibitisheBasi wewe ni mojawapo ya viumbe adimu waliobakia...(KAMA NI KWELI LAKINI)
Pesa ni issue nyingine kabisa, embu jaribu kuchunguza kuna wanaume wabaya sura nzito ngumu hatari ila unakuta wanahela chafu wanawaburuza warembo mijini ni balaa, pesa inafukia mashimo rafiki yangu.hahahahaahhahhahha jaman uwiii mie nilichoka my frnd aliniambia siku hyo akijua mumewe ana pesa huwa anamzuka hatr wa sex na huwa ' anafika' eti asipokuwa na pesa ht umfanyej hanyegeki jaman huwa nacheka mm dah! kweli nikajua mie bado sana aiseee !dah nimechekaa eti hata apewe taarifa mby .... hahahaha pesa jaman kitu ingine
Jinsia yako ina utata kidogo. .mhhh wengine hatuko interested na pesa zenu mkuu
mhhh wengine hatuko interested na pesa zenu mkuu
kaa imya tu jinsia yangu ina utata aje na wewe? au unahisi me dume?Jinsia yako ina utata kidogo. .
Anyway ngoja nkae kimya
if u get time??? niulize tu hata sasa nitakujibu kulingana na uwezo wanguHalafu nimekuwa na kitu nataka kukuuliza for all this long nashindwa.
If I get time nitakuuliza.
if u get time??? niulize tu hata sasa nitakujibu kulingana na uwezo wangu
ninaomba nikuthibitishie mimi sijawah kumuomba mwenzangu hela, na sitakuja kuthubutu kufanya hivo na kama nabisha atakuja athibitishe
thank you so much!!Nimeona jibu tayari kwenye hii post chini.
Thanks and keep it going on.
All the best dear.
Hivi kila mwanaume ana mahela au??shangaa na wewe
Na pesa zenyewe ziwepo maana kwa ninazoziona basi papuchi ningeangalia kwenye pichamhhh wengine hatuko interested na pesa zenu mkuu
yan kuna vitu inabidi tuache kuvikrem kabisa, s ndio hapo na hata akiwa nazo s zake bwana?Hivi kila mwanaume ana mahela au??
hahahhahaa nimecheka had nakosa cha kusemaNa pesa zenyewe ziwepo maana kwa ninazoziona basi papuchi ningeangalia kwenye picha
sio kila mwanaume ana hela na s kila mwanamke anataka pesa kutoka kwa mwanaumeHivi kila mwanaume ana mahela au??