Hamna anaeweza kujibu hili swali. Nishauliza zaidi ya mara 1000!Pesa kiasi gani inazungumziwa hapa?
Ngoja nipitemhhh wengine hatuko interested na pesa zenu mkuu
Sasa mbona wangu hana na nampenda kweeeli!!!!
Sio kweli.....wengine umri umeenda hatongozwi, akitongozwa anakubali maana kashachuja na mijitu hii ni kuandiz age ya above 40Hakuna mapenzi siku hizi tusiongopeane utakubaliwa kwa PESA ZAKO TU!
ByeNgoja nipite
Kuna mtu aliwahi kuniambia bora mimi ninaesema ukweli kabisaa kuwa pesa muhimu, maana wanawake wote tunataka pesa ila wengi wanafiki. Atakwambia hataki pesa zako ila ukimpa anapokea, na usipompa kimoyo moyo au kwa mashosti analalamika.usidanganye mchana kweupe hahaha..nani hapendi pesa
Huo ndio unafiki sasa sitaki natakaKuna mtu aliwahi kuniambia bora mimi ninaesema ukweli kabisaa kuwa pesa muhimu, maana wanawake wote tunataka pesa ila wengi wanafiki. Atakwambia hataki pesa zako ila ukimpa anapokea, na usipompa kimoyo moyo au kwa mashosti analalamika.
Ninong'oneze mimi sitamwambia.Sasa mbona wangu hana na nampenda kweeeli!!!!
Tutathibitishaje mkuu?Mbona mimi sina pesa na ninapata wanawake wazuri tu....?
Njoo nyumbani.Tutathibitishaje mkuu?
kabisa hunterHunter kisu kimegusa mfupa hapo
Hapana chezea pesa mama.
Hahaha aiseee Mungu akijaalia...namba ya shemeji unipe nimpigie nithibitisheNjoo nyumbani.
Ndio mapenzi ya sasa hayoMapenzi yapo sema tuu yanavutwa zaidi na wallet [emoji6]
Ukifulia alfu si unaanika juani halafu unaendeleza swagaKweli kabsa sikuizi tunauziwa mapenzi kama huamini fulia alfu uone kama mapenzi hayatopungua
Kuthibitisha kama ni mzuri si inabidi umuone? Njoo nyumbani.Hahaha aiseee Mungu akijaalia...namba ya shemeji unipe nimpigie nithibitishe
HahahaNinong'oneze mimi sitamwambia.
Aah jirani nimeamua nijitoe muhanga tuu, japo siwezi kumuomba mpenzi wangu pesa ila pesa inaongeza hamasa kwenye mapenzi, pesa pesa pesa na iheshimiwe na kila mtu banah.Jirani heri umezungumza ukweli