Siongelei kumjua bwana antie! Basi kama haujanielewa.Hahaha
Mbona unamjua auntie.... Mie nina mmoja tuu
Hata kwa picha inafaa mkuuKuthibitisha kama ni mzuri si inabidi umuone? Njoo nyumbani.
Kijana unaogopa kuja nyumbani?Hata kwa picha inafaa mkuu
Nauli ya Dar sina mkuuKijana unaogopa kuja nyumbani?
Yeah, Zamani ilikuwa mfumo wa barter trade sasahivi ni mfumo wa pesa tuu, ndio utambue nowadays pesa ndio muhimili mkuu tofauti na kitu kingine chochote.Ndio mapenzi ya sasa hayo
Kwa mfano nikikuoa utanifanyia hivyo baby?Yeah, Zamani ilikuwa mfumo wa barter trade sasahivi ni mfumo wa pesa tuu, ndio utambue nowadays pesa ndio muhimili mkuu tofauti na kitu kingine chochote.
Nieleweshe hebuSiongelei kumjua bwana antie! Basi kama haujanielewa.
Hapana baby wangu ila nitajitahidi kukushauri utafute pesa kwa udi na uvumba ili nisipate vishawishi huko nje, maana atatokea mwenye sura mbaya mwenye mpunga wa maana atanisababishia nikuvunjie heshima machoni pa watu wa nje na ndani ya nafsi yangu hali ya kuwa mpenzi wangu utajiona wewe ndio wewe kumbe ukweli ni kwamba pesa inakushushia heshima kwa mwenzi wako. Tafuta pesa mpenzi ujenge heshima kwenye familia yako. Hakuna atakaye msumbua mpenzi wako ikiwa kila kitu atakipata kwako ikiwemo pesa.Kwa mfano nikikuoa utanifanyia hivyo baby?
Umeongea vyema Dear ila muda mwingine huwa mnabadilika..kila kitu mnapewa ila mnatugeukaHapana baby wangu ila nitajitahidi kukushauri utafute pesa kwa udi na uvumba ili nisipate vishawishi huko nje, maana atatokea mwenye sura mbaya mwenye mpunga wa maana atanisababishia nikuvunjie heshima machoni pa watu wa nje na ndani ya nafsi yangu hali ya kuwa mpenzi wangu utajiona wewe ndio wewe kumbe ukweli ni kwamba pesa inakushushia heshima kwa mwenzi wako. Tafuta pesa mpenzi ujenge heshima kwenye familia yako. Hakuna atakaye msumbua mpenzi wako ikiwa kila kitu atakipata kwako ikiwemo pesa.
Nimeona mpz acha kabisaHapana chezea pesa mama.
Pesa tunazo, ila tunataka mapenzi ya kweli, kwa kuwa nanyi ni matapeli ndo maana tunataka pesa mkuuNdio muulizane huko halafu mtuletee jibu hapa tunasubiri...
nimefanya niniAaaah, tena wewe!!!!
Sasa tutawaelewa vp mkuu?Hamna anaeweza kujibu hili swali. Nishauliza zaidi ya mara 1000!
[emoji15]mhhh wengine hatuko interested na pesa zenu mkuu
Hakuna mapenzi siku hizi tusiongopeane utakubaliwa kwa PESA ZAKO TU!
Tuishi nao kwa akili.Sasa tutawaelewa vp mkuu?
Hapo umenena mkuu kiongozi, tutumie vipawa vyetu kuishi na hawa viumbeTuishi nao kwa akili.
enhe[emoji15]