Wanaume mnaoenda chini ya dakika 30, hivi mnajielewa kweli?

Shukuru huyo wa dak 10 wengine tukiona pichu tu bao tayari
 
Sasa tumekwishaaaaa. Ukiona mdada kaamua kubanjukia humu sasa uzalendo umekwisha kabisa. Pole dada, ila kama unaona kumweleza ni ishuuu njoo utapata vya kizee, dk 40 si chini ya hapo. Unaulizwa, umetosheka?? Jibu ni kichwa tu kutikiswa na mgumio wa asaantee nyingi tu. Ni PM nijue uliko ila kipimo lazima, mambo kwa soksi hayafai, yaweza chukua saa 2 Kumbe huko nkutesana tu
 
Inakera sana na inauma sn
najua ina kera na inauma je wewe umejiangalia uko chini??
Mazingira ni mazuri??
Iko kwenye size nzuri au ni bwawa??
Unatokwa na maji au ni pakavu??
Ukipata majibu na ukajiona uko sawa basi ongea na mzee na mshauriane but kama hapako sawa wewe kausha tu usije kuaibika.
 
Kama wakichepuka, izo dk 30 anaenda kufanya na wanawake au wanaume tena?!
 
 
Hawajielewi kabisa,wanachowaza wao kukojoa tu,kazi kujisifia kijiweni'nimemtomba bao sita'bao sita hizo umetomba ndani ya masaa mangapi?aargh!!,mna boa kwa kweli
Ww ujawai pata show! Uje nikuonesheee!
 
Hawajielewi kabisa,wanachowaza wao kukojoa tu,kazi kujisifia kijiweni'nimemtomba bao sita'bao sita hizo umetomba ndani ya masaa mangapi?aargh!!,mna boa kwa kweli
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] unataka ngapi mama na unataka kwa masaa mangapi???naona unavyoumia!!
 
what do platnum replies help anyway, this is too low for you to think in such a way....na wewe unaungana na huyo mjinga mmoja..okei ngoja niwapuuze wote
hahaaahaaa...9t
 
Bibie wewe nawe unajiweza au unasusia mwenzio ajitume peke yake....
 
Mimi huwasiangalii muda huwanasubiri hadi mwenyewe aombe poo....mal.za basi b.by...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…