Wanaume mnaoenda chini ya dakika 30, hivi mnajielewa kweli?

Aiseee ndo maana mnanywewa midawa miviagra maana hamridhiki nyie watu? Hamuoni huruma kitu kinasimama bila miguu.. Mnataka kisimame usiku kucha
Kunyweni tu mkifika 50 hoi bini taabani kutema tu mate mama anatafuta kamchepuko kimya kimya
 
That true....
 
Dakika 30 inachanganywa na kachumbali na viungo vyote sio kukomaa tu na kifo cha mende romance zenyewe [emoji49] [emoji49] popobawa[emoji102] [emoji102]
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
haha nilijua tu wapo watakao nigeuzia kibao na hao ndio wahusika kama wewe..sijajumuisha wanaume wote ni baadhi elewa somo na jitahidi ufike 30 mins walau
Mm 45mins karibu.
 
Mhhh Ebu kuweni na uhalisia dk kumi bao la ngapi kama ni la kwanza apana
 
Mkuu kwanza ieleweke hakuna mwanamme wakawaida aliyezaliwa alast zaidi ya dakika thelathink kifuan mwa mwanamke.. Out of there Viagra na madawa ya miti shamba yahusike nahuo sio uanamme .

Mwanamke kufikia kilele na Ku squirt nimuda was dakika 10-15 ,, nahuu muda sio kazima uume uwe ndan yauke ,, unaweza kucheza namwili wamwanamke dakika 10-30 alafu ukatumia dakika 7 kuu mapajan make nabado akakubali show yako ...

Bao lakwanza wanaume wote duniani popote walipo huwa hawalast mapajan zaidi ya dakika tano huu ndo ukweli ..

Baada ya hapo sasa nimbinu za kuzuia kutokumwaga mapema ,,stail tofauti ,,maji yakunywa ,, vyakula n.k ...

Angalien msije mkafie mapajani mwa wanawake kisa mnataka muonekane viboko ....risasi moja yenye mbwembwe inatosha kuua tembo.
 
wanawake wenyewe wanawaza pesa tuu.... ya nini kujichosha dk15-20 zinatosha kabisa.... wajiulize wanataka utamu au dk za pampu
 
Njoo kwangu, mi napiga la kwanza fasta tu tena ukiwa mtamu ndo kabisa yani mpaka namind but natuliza akili najipanga round 2 hapo ni 45 minutes and above huku nakuongelesha kujua angle zako na kukupoteza akili ya ku control hpo lazma umwage hata kama hujawai maisha yako yote maana kuna hawa wanawake hawajawai kukojozwa.

Mapenz yana mood so kuskilizana muhimu sana or else kazi bure.

Goma ndo imetokea zali nimedaka juu kwa juu hata sijisumbuagi mi napiga game tu kutokana na uwezo wangu siku hiyo.

Mpenz ndo muhimu kuongea nae tena sisi wanaume ndo tuongee mtoto yupo uchi umempinda vema atakujibu tu hata kama hapend kuongea matokea yake ni kumkuna vema kuepuka kugongewa maana street kuna maniga wanasimamia kucha balaa kila game anavuruga tu.
 
Reactions: sab
Kweli wanawake,tunawaheshimu tunawapenda ila
ni ngumu sana kujua mnachokitaka.
Mwanaume ukijipinda ili mtu aridhike,akiishafika mlimani juu
lawama zinaanza,mbona umenipania.mbona mpaka maji yamekauka,
unalazimika kuishia hapo ili usimkwaze mwenzio.
ukija huku unakuta wanaolalamikia mda mfupi dakika kumi,

Namimi naona wanaume tuanze ule mtido
wa chapa ilale.
 
Duuh
 
Kwani wewe unakojozwa kwa dakika ngapi , tuanzie hapo maana dakika 30 ni parefu.
 
Ngono, uzinzi haununui Vogue, rexus,hata IST, ni umaskini kuanzia babu,we were, mpaka vitukuu, shenzi type,
 
Mimi hizo kumi labda tujumlishe kuanzia tunalipia lodge, kuandaana na kubanduana hilo bao 1 ndio zinafika dakika 10.

Yaani ni mwendo wa gusa achia wazungu *****.
 
 
Hahaha daah ndo mana Kuna mdau huku jf alisema baadhi ya wanawake hawajui wanataka nn ktk mahusiano au hawajui wapo ktk mahusiano yanahusu nn...Sasa tukienda above 40min mnaanza kusema tunawakomoa n below 40min mnasema tunazingua daah ... Anyway tutajua cha kufanya
 
Hivi unajua kila **** ina Radha yake,nyingine ziko very smelly na nyingine very sweet like 🐔 🍗 fanya uchunguzi ujue wanaume walivyo na kinyaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…