Wanaume mnaofunga PM na Details zenu, mko sawasawa kweli?

DaJane

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2012
Posts
223
Reaction score
622
Eti utakuta mwanaume mzima, na akili zake timamu na kwa makusudi kabisa anafunga Pm yake.
Hivi naomba kuuliza, wewe mwanaume unafunga Pm ili iweje?
Unaogopa kutongozwa Pm au unaogopa kuombwa pesa huko Pm.

Hongera kwa wanaume woote wasiofunga Pm na Details zao.
Nyie mliobaki, huo ni Umama mnaoleta.

Yaani nikiona dume zima linafunga Pm huwa najiuliza mara mbilimbili, ni mzima kweli au kuna makucha anaficha!
Unaanzaje kufunga Pm na unamfungia nani hiyo Pm?
Pesa huna tuseme tutakuomba,
Sura huna,
Mvuto huna,
Pozi huna,
Kazi huna,
Maisha yako hayaeleweki.
...unafunga Pm ya nini?
Fungua upate madili.
Mtakosa vingi kwa umama wenu.

Pm acheni wafunge wadada, nyie wanaume ni kupambana hukohuko.
Wanaume woote mnaofunga Pm, mjue nimewadharau sana.
Na siwapendi hata.

Eti dume zima linaongelea kuhusu ignore list jukwaani.
Anaomba afundishwe jinsi ya kutumia kitufe cha ignore list....huoni aibu wewe!!! vingine jifunze mwenyewe ukiwa umejifunika na shuka kitandani.

Unataka kumuweka nani huko, au una account yako ya M-pesa huko ignoreni?
Mwanaume wa kweli hamuweki mtu Ignore list..bali anapambana nae hoja kwa hoja, jiwe kwa jiwe, chaka kwa chaka na pori kwa pori
Mwanaume wa kweli hafungi Pm hata kwa sekunde moja.

Ujumbe wangu ndo huo.
Povu lenu nipeni nikafulie mashuka nikiamka asubuhi.
 
kuna watu wanabahatiii wana jamii si ungekuja hata kwa rijali pm iko wazi 24 seven mpaka hii nyuzi

Bila kuchelewesha mudaa pm yangu iko wazi na namba za simu mkihitajii natoa
karibuni tufyatue kama mkuu alivyosema
 
Nyege za alfajiri huwa zinakufanya unabehave ka teja!!! We sema simi limesimama hapo inaishia kulishika na kutoa machozi tu hamna msuguaji
 
Dada humu kuna watu zaidi ya laki tatu hao walozifungua hizo pm wanatosha..kwanza ushazimaliza zote.adi ulalamike nyingine zimefungwa.unafanya biashara gani kwani kwenye izo pm.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…