Wanaume mnaofunga PM na Details zenu, mko sawasawa kweli?

Msinisahau na mm
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ukifunguliwa twende wote kuhakiki
Chambaaaaa Kama beberu DA Jane.
Sema nasikia kuna member wawili ni mahandsome (kutokana na comments za wadau) sasa usumbufu ukazidi kwa kutongozwa ikabidi wafunge pm (Mimi naomba wanifungulie nihakikishe).
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
4G LTE vipi umeshafungua hiyo piemu yako.??
 
Kuna uwezekano mtu amekukula papuchi alafu akaki block maana hujakidhi viwango.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…