Wanaume mnaopenda Mpira

Wanaume mnaopenda Mpira

Husna Muba

JF-Expert Member
Joined
Jan 28, 2017
Posts
14,524
Reaction score
44,577
Husika na kichwa cha habari hapo juu nawauliza nyinyi wanaume hivi kuna nini kitamu kiasi cha kufikia hatua unamuacha mkeo ndani usiku peke yake kalala na ww unaenda mpirani!

Kuna ndoa moja hapa imefungwa kama mwezi mmoja uliopita hivi lakini bwana harusi tangu bado wako fungate anamuacha mkewe anaenda mpirani
Hivi mnataka kunambia mpira ni mtamu kuliko wake zenu?

BADILIKENI WAJAMENI
 
Husika na kichwa cha habari hapo juu nawauliza nyinyi wanaume HV kuna nn kitamu kwenye kiasi cha kufikia hatua unamuacha mkeo ndani usiku peke yake kalala na ww unaenda mpirani!

Kuna ndoa moja hapa imegungwa km mwezi mmoja uliopita HV but bwana harusi tangu bado wako fungate anamuacha mkewe anaenda mpirani
Hv mnataka kunambia mpira ni mtamu kuliko wake zenu?!

BADILIKENI WAJAMENI
Wengine wana nyumba ndogo hao, mpira wanausingizia tu.
 
Husika na kichwa cha habari hapo juu nawauliza nyinyi wanaume HV kuna nn kitamu kwenye kiasi cha kufikia hatua unamuacha mkeo ndani usiku peke yake kalala na ww unaenda mpirani!

Kuna ndoa moja hapa imegungwa km mwezi mmoja uliopita HV but bwana harusi tangu bado wako fungate anamuacha mkewe anaenda mpirani
Hv mnataka kunambia mpira ni mtamu kuliko wake zenu?!

BADILIKENI WAJAMENI
Kwa upande wangu mimi nilianza kuupenda mpira kabla hata mke wangu hanifahamu, so hana cha kunipangia kuhusu mpira

Slippy Gerald, you served football.
 
Mkuu ungeongea kitu kingine lakini sio mpira aisee!!!

Nimeanza kufatilia mpira nikiwa darasa la 4 tena aliefanya nipende mpira ni mzee wangu yaani hata mpira uchezwe kuanzia saa 00:00 lazima atakuamsha tu muangalie wote.

Sasa hapo mkuu unategemea nini!!!!
 
Back
Top Bottom