WEWE NI KE AU ME?Za jioni
Wanaume mnao vaa pensi saluti kwenu kwanza mna pendeza Sana na zaidi mupo romantic
Kwa hilo nawasifia
Ninyi mna vaa malonyalonya ya mtumba mnavaa suruali pangilieni nguo Alafu msisahau kutumia manukato mazuri acheni kupaka manukato ya kike na mnao jikoboa niny wanaume acheni mara moja mnakuwa warembo
Kama una jinsia ya kiume, basi mzee wako ahesabie tu hasara.Za jioni
Wanaume mnao vaa pensi saluti kwenu kwanza mna pendeza Sana na zaidi mupo romantic
Kwa hilo nawasifia
Ninyi mnavaa malonyalonya ya mtumba mnavaa suruali pangilieni nguo halafu msisahau kutumia manukato mazuri acheni kupaka manukato ya kike na mnaojikoboa ninyi wanaume acheni mara moja mnakuwa warembo
[emoji23]Unatucheka sisi tunaovaa za mitumba,unasahau ww kichwani kichwa kama bundi kwa kuvaa katani za sikonge
Hadi utopolo wanavaa siku hizWanaovaa pensi wanajishebedua,pensi zimeingiliwa na kakikundi flani hivi kameharibu maana nzima