Wanaume mnaowaibia wake zenu mnajisikiaje??

Wanaume mnaowaibia wake zenu mnajisikiaje??

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Wapo wanume wengi duniani hawana uchungu na wake zao...na tatizo kubwa linakuja pale mwanaume anapojua kiasi cha mwenzake ni kikubwa mara dufu yake...wapo ambao kwa namna moja niseme mapepo,,ama tabia...wake zao wakiweka pesa vyumbani gafla akirudi anakuta tofauti ya ajabu...wapo wanaokubali wamechukua lakini leo hii ntaongelea wale wasiokubali
hivi wewe ndugu unaesoma hapa kama unahusika kai ya haya kumwibia mkeo unajisikiaje...mi nacheka sana nashangaa hata kama mkeo ana pesa ujui ni zako?????ama ndio nyie mnachukua kwa wake zenu mnaenda tengeneza kwenu...no tuwe wastaarabu jamani...kupata mwanamke mwenye kipato ni baraka kwa mungu usimtumie kama asset!!!!ni vizuri ukiwa una shida mweleze mkeo naitaji kiasi hiki kama anazo atasema na kama ana mpago mwingine na anazo atakwambia mnashauriana.....iweje nyumba moja chumba kimoja....mnaibiana,,najua wapo watakaokuja kusema alimtunzia ...mmmhh .....ila ni vizuri si lazima usubiri mpaka mkeo aje akuulize..kama umechukua akiwa ayupo akirudi mwite mkalishe .....lete juice ya alovera mpge kisi mwambi mke wangu leo umechoka utasema umetoka same kwenye maafa....akianza kucheka cheka nae nikimaanisha muunganishie ulichochukua na kwa shida gani...nakwambia atajibu dont worry darling...ila si anajibu hivyo kesho inakuwa mchezo wa comedy...aah ...ukiwa na mwanamke kama huyo mwambie mungu akupe ufahamu....wa maendele...kama mnaishi sinza chumba kimoja ndio wakati wake hny jamani tutengeneze kabox tuweke hela za kiwanja......baadae mnatengeneza chumba chenu kimoja viwili mnaamia huku mkiendelea....jamani mapenzi raha mapenzi sio pesa,,,pesa majaliwa....basi ndugu yangu ukipewa usimamie na ujenzi sio unafanya sehemu ya kupigia mizinga oooohhh cemnt zimeisha kumbe ziko kwa jirani...unasubiri kuuza ama ujanunua kabisa...acha nasema acheni...tengenezeni njia ya maendeleo kwenye familia zenu....hata kama anazo pesa hizo ni zake bado mwanaume una mamlaka.....

Kila la kheri
 
he he pdidy nilijua wale wanaoiba kwa kwenda kula tunda nje ya ndoa loh. hiyo ya kuiba pesa inatia kinyaa kwa kweli yaaani umuibie mkeo halafu mijitu mingine inaiba na kwenda kulewa pombe au kwenda kufanya zinaa nje, naiombea laana hii jamaa.
 
he he pdidy nilijua wale wanaoiba kwa kwenda kula tunda nje ya ndoa loh. hiyo ya kuiba pesa inatia kinyaa kwa kweli yaaani umuibie mkeo halafu mijitu mingine inaiba na kwenda kulewa pombe au kwenda kufanya zinaa nje, naiombea laana hii jamaa.

mkuu GAMAHA wapo tena hata awana adabu wala aibu hawa...unakuta mkeo kaweka pesa unachukua unaenda usiku unarudi umelewa peesa hamna za chakula hamna...si upuuzi huu jamani??
 
SIJAWAHI KUCHEKA KAMA LEO!
Yaani Pdiddy uliwaza nini hadi ukaleta mada kama hii? Bora umekuwa mbunifu mwaya maana kila leo lawama hizi huwaendea wanawake tu.
Hongera sana.
 
SIJAWAHI KUCHEKA KAMA LEO!
Yaani Pdiddy uliwaza nini hadi ukaleta mada kama hii? Bora umekuwa mbunifu mwaya maana kila leo lawama hizi huwaendea wanawake tu.
Hongera sana.

ukiwauliza kulikoni

financial crisis

weeeeeee;mi nasemag kuliko kuwa na mtu wa namna hii bora nibaki single
 
ukiwauliza kulikoni

financial crisis

weeeeeee;mi nasemag kuliko kuwa na mtu wa namna hii bora nibaki single

Aina hii ya wanaume kama wapo ndo wale wanaopigwa na wake zao na uoga ndo unawafanya waibe badala ya kuomba.
Mwanamke ukona mmeo anaiba ujue unamnyanya otherwise asingeiba ila kama wapo hapa Jf ombeni nanyi mtapewa toka kwa wake zenu.
 
Aina hii ya wanaume kama wapo ndo wale wanaopigwa na wake zao na uoga ndo unawafanya waibe badala ya kuomba.
Mwanamke ukona mmeo anaiba ujue unamnyanya otherwise asingeiba ila kama wapo hapa Jf ombeni nanyi mtapewa toka kwa wake zenu.

Daaaah, hiiiiii kali!!!!!!!
 
Back
Top Bottom