Wanaume mnapata wapi nguvu ya kulilia wanawake pale mnapoachika?

Kwann unilazimishe mkuu๐Ÿคฃ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ tatizo Ilo ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
Mimi sikulazimishi nataka nikusaidie utokane na hali za kuumizwa na mapenzi a.k.a uzwazwa! sasa kama unapinga basi dawa itakapokuingia vyema utanitafuta!.
 
Hayana fomula mkuu.
 
Hujakutana na papuchu zenye vinyoka au vindama ndani ambazo ukiingiza vinaanza kunyonya
 
Mimi sikulazimishi nataka nikusaidie utokane na hali za kuumizwa na mapenzi a.k.a uzwazwa! sasa kama unapinga basi dawa itakapokuingia vyema utanitafuta!.
Mimi au wewe ndo amtafute mwenzie ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜ƒ,Jana tu umetoka kuumizwa Leo uwe mshauri tatizo Ilo ๐Ÿ˜‚
 
Baba hapo umenena...big up sana!
 
Asante sana kwa ujumbe murua mkuu,nnaamka nakung'uta matako yangu nasonga mbele kwa MBELE.
 
Nawapenda wanaume waliotendwa kwenye mahusiano na ndo na wale walevi, ndio kipindi cha kuwa nao karibu na kuwafariji
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ