Wanaume mnashauriwa kufanya usafi sana wa maeneo haya ya mwili...

dawa ya mswaki ndo dawa gani hiyoo nianze kuitumia.
 
Na sinyoi, misitu ndio inayoleta mvua..

Halafu dume zima utaanzaje kujinyoa nywele za tako!? Unajikunja kabisa unapititsha shaver rwaah rwaah.. Pumbavu kabisa..
moja kubwa💪kwengine sawa ila kujikwangua tako dume zima na midevudevu yangu,mtasubiri xanaa na badoo.
 
kwa taarifa yako tu ni kwamba nina mwaka wa tatu natunza msitu wangu juu niko na plan ya kutengeneza mawigi,halafu unaniambia nifyeke raw materials!? are u serious?😠😠😠😡😡😡
 
Wanawake hamueleweki mara mapenzi pesa, kesho mapenzi usafi ,kesho kutwa mapenzi kunako old traford( 6 kwa sita) sasa dada zetu nyie mko upande gani hasa?
 
Ila wanaume!!! Mtu boxer unaona ulefereji Wa linapopita tako ni nyeusi,kwenye p*** ni nyeusi kinywa ndo usiseme hata kama anataka d**** unazuga kiaina sasa avue hivyo viatu loh! Hilo sikio ukianza kulilamba utasema klorokwini,katoka kuoga taulo akijifuta linabaki na weuccc yani na ukiongea utaonekana una mdomo
 
Yaani tuache kwenda kusaka pesa, eti tukae bafuni lisaa. Kwani nimetoka kijifungua. enhee hee heee
 
Yaani wewe ungekuwa karibu yangu ningekukamata halafu nikulambe makofi kama saba hivi! Halafu unafanyaje?! Unalala chali kisha unachanua miguu kwa juu huku ukijichungulia kwa kioo, au? Wewe 😵😵😡😡🙄🙄!!! Si bora ungetuhamasisha tuwetunafua boksa angalau mara 2 kwa mwezi!
 
NA WAO WAPIGE MSWAKI MIDOMO INANUKA BALAA....WAKIKUHEMEA TUMBO LINAVURUGWA HAPO HAPO....
 
Na mimi hoja yangu ni hii, hizo shingo zenu ni chafu zina chumvi maji ya bahari hayaoni ndani

Kwakua mna minywele mirefu shingoni kwenda juu huwa hamuoshi ova
 

Swali la kwanza. Wewe mwanaume unayetaka demu una hela? Hayo mengine mbwembwe tuu
 
Na sinyoi, misitu ndio inayoleta mvua..

Halafu dume zima utaanzaje kujinyoa nywele za tako!? Unajikunja kabisa unapititsha shaver rwaah rwaah.. Pumbavu kabisa..
Kaka umeongea point, kujitawaza yenyewe tunafanya juu juu ili usizoee kushika hayo maeneo, iweje mtu uyanyoe? Ukizoea kujishikashika huko mvunguni unaweza kua bwabwa
 
Nyoeni jamani
Kaka umeongea point, kujitawaza yenyewe tunafanya juu juu ili usizoee kushika hayo maeneo, iweje mtu uyanyoe? Ukizoea kujishikashika huko mvunguni unaweza kua bwabwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…